Siyane
Member
- Dec 26, 2010
- 46
- 9
Siku vitisho vya serikali dhidi ya madaktari vikifanikiwa kuwarudisha kazini yatatokea mauaji tanzania ya watu maskini wasiokuwa na uwezo wa kwenda apollo na kwingineko nje ya nchi kwa matibabu. Fikiria umeugua na unatibiwa na daktari mwenye hasira, kinyongo, gadhabu n.k. Ni kifo tu hamna la ziada.