zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Sakata la mauaji ya waandamanaji Songea limezua utata mtupu kwenye ofisi za serikali wakitofautiana kwenye idadi ya waliokufa.
Jeshi la polisi limesema-Wawili wafa then 10 wajeruhiwa.
Ofisi ya Mkuu wa mkoa-wawili wafa then 20 wajeruhiwa.
Hosptali ya mkoa yasema-Wanne wafa then 41 wajeruhiwa.
Huu mkanganyiko wote ni dhambi ya Uonevu.
Jeshi la polisi limesema-Wawili wafa then 10 wajeruhiwa.
Ofisi ya Mkuu wa mkoa-wawili wafa then 20 wajeruhiwa.
Hosptali ya mkoa yasema-Wanne wafa then 41 wajeruhiwa.
Huu mkanganyiko wote ni dhambi ya Uonevu.