Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,911
Ama hakika Dunia imeisha! Maana imeshuhudiwa watu wawili wakipigwa risasi live mbele ya familia za bila hata wao wenyewe wala familia zao kujitetea!!( Soma nipashe ya Jumapili). Mimi bahati niko jirani na waliouliwa! na wauaji walifyatua risasi na Shortgun zao kutishia raia wema kusogea maeneo ya tukio.
Wa kwanza aipigwa risasi sebuleni na kuvutiwa chumbabi huku damu zikichuruzika, wa pili alifumaniwa gaetini akiingia na gari lake kutoka katika shughulu zake. Matukio yote yalipishana kama 30 minutes.
Maana majirani tumebakia midomo wazi hatujui tuanzie wapi ama kumalizaia wapi. Na hii si mara ya kwanza matukio kama hayo kuripotiwa. Je yawezekana turudishe enzi za Lyatonga mrema (SUNGUSUNGU) ambapo kila ikifika saa1 jioni kila mwanaume anakuwa nje? Maan kutegemea Polisi tu naona haitoshi! Naomebeni ushauri:confused2:
Wa kwanza aipigwa risasi sebuleni na kuvutiwa chumbabi huku damu zikichuruzika, wa pili alifumaniwa gaetini akiingia na gari lake kutoka katika shughulu zake. Matukio yote yalipishana kama 30 minutes.
Maana majirani tumebakia midomo wazi hatujui tuanzie wapi ama kumalizaia wapi. Na hii si mara ya kwanza matukio kama hayo kuripotiwa. Je yawezekana turudishe enzi za Lyatonga mrema (SUNGUSUNGU) ambapo kila ikifika saa1 jioni kila mwanaume anakuwa nje? Maan kutegemea Polisi tu naona haitoshi! Naomebeni ushauri:confused2: