George Kahangwa
JF-Expert Member
- Oct 18, 2007
- 547
- 147
Napenda nikuhakikishieni kwamba Dr.Mvungi hakuwa mwenyekiti wa mkutano huo. Tanzania tunayo matatizo mengi; hili la uongo na upotoshaji nalo ni kubwa.Hivi Mvungi ali-chair ule mkutano wa kumfukuza Kafulila kama nani ndani ya chama??? Isije ikawa alichea kulinda ukanda maana mbatia na mvungi wanatoka Kilimanjaro.
TZ hakuna democracy nchini na ndani ya vyama