Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Huuuuuuu wiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
kweli watanzania hataaaaaaaaaaaaaaaa uwape million miaaaaaaaaa
hawaridhiki hata kidogo!!!!!!!!!!!!mkinyimwa mnapiga kelele hamsikiki jamani
huyu rais kwa hili awalambe miguu???nimepita barabara ya morogoro road nimefurahi sana kuona matuta yakinyauka kila baada ya kim kadhaa nan kufanya yale makelele na vilio vya kila siku kuisha kabisa !!jamani mi ni mkazi wa kimara bucha hakika ni swala la kufurahi..sana
jamani nakumbuka kabla sijasafiri nilikuwa kila baada ya siku mbili lazima tulie pale mtahani mpaka masikini wakamsingizia mzee wa watu mmoja ana garage yake hapa bucha barabarani..hakika anaesoma na kujua bucha ilivyi ni swala la kuandamana na kumshukuru raisi kwa hili jambo!!!kuna vifo vya mwisho nilivyoona kabla ya kusafiri kuna house girl akiwa na watoto wa shule 2
akafia pale bucha barabarani fresh !!yule mama sijui hali yake ilivyokuwa lakini ilikuwa ni msiba wa ajabu kwa kweli yule dada tukamzika na wale watoto tukapeleka moshi!!!
kuna hoja napenda kuweka wazi kwa wale waliokuwa wakipiga makelele ya kwanini yamewekwa pale!!!!swala la ajali ya magari kugongana najisikia uchi mtu kulinganisha ajali ya magari na vifo vya binadamu!!!swala la kugongana hilo ni swala lingine na pia napenda kuwasaidia swala la TANROADS kutoweka alama za kuonyesha matuta ya reflect.nafikiri kama wataangalia pembeni kabla ya kuon matuta kuna alama zinaonyesha kama umelewa unaitaji rangi zikuonyeshe tuta nahisi unaitajika kuwasalimia wale jamaa pale kwenye matuta
wajue ama ulikuwa auoko makini au uko bwiiiiiiiii.hilo ni swala la utendaji lakini
limefupisha maisha ya watanznia wengi
nawakilisha
kweli watanzania hataaaaaaaaaaaaaaaa uwape million miaaaaaaaaa
hawaridhiki hata kidogo!!!!!!!!!!!!mkinyimwa mnapiga kelele hamsikiki jamani
huyu rais kwa hili awalambe miguu???nimepita barabara ya morogoro road nimefurahi sana kuona matuta yakinyauka kila baada ya kim kadhaa nan kufanya yale makelele na vilio vya kila siku kuisha kabisa !!jamani mi ni mkazi wa kimara bucha hakika ni swala la kufurahi..sana
jamani nakumbuka kabla sijasafiri nilikuwa kila baada ya siku mbili lazima tulie pale mtahani mpaka masikini wakamsingizia mzee wa watu mmoja ana garage yake hapa bucha barabarani..hakika anaesoma na kujua bucha ilivyi ni swala la kuandamana na kumshukuru raisi kwa hili jambo!!!kuna vifo vya mwisho nilivyoona kabla ya kusafiri kuna house girl akiwa na watoto wa shule 2
akafia pale bucha barabarani fresh !!yule mama sijui hali yake ilivyokuwa lakini ilikuwa ni msiba wa ajabu kwa kweli yule dada tukamzika na wale watoto tukapeleka moshi!!!
kuna hoja napenda kuweka wazi kwa wale waliokuwa wakipiga makelele ya kwanini yamewekwa pale!!!!swala la ajali ya magari kugongana najisikia uchi mtu kulinganisha ajali ya magari na vifo vya binadamu!!!swala la kugongana hilo ni swala lingine na pia napenda kuwasaidia swala la TANROADS kutoweka alama za kuonyesha matuta ya reflect.nafikiri kama wataangalia pembeni kabla ya kuon matuta kuna alama zinaonyesha kama umelewa unaitaji rangi zikuonyeshe tuta nahisi unaitajika kuwasalimia wale jamaa pale kwenye matuta
wajue ama ulikuwa auoko makini au uko bwiiiiiiiii.hilo ni swala la utendaji lakini
limefupisha maisha ya watanznia wengi
nawakilisha