Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,531
- 8,616
- Thread starter
- #41
ndugu yangu wa Kimara, hilo unaloliongea kuhusiana na ajali ambazo watu wengi walikuwa wanapoteza maisha yao hapo siku za nyuma si kwamba zitakoma, suala la usalama barabarani ni zaidi ya matuta, matuta yanaharibu barabara pamoja na magari pia husababisha muda mwingi kupotea kwa sababu ya matuta.madereva wa magari wa kwetu hapo Tanzania wanatakiwa wajue kwamba mtembea kwa miguu ni traffic, naye ana haki ya kutumia barabara. madereva wanatakiwa wafuate sheria za barabarani zote.tatizo lililopo nchini kwetu watu hawajali sheria za barabarani. Wanasiasa nao wanatakiwa waendelee na siasa zao kazi za kitaalamu awachie technical personnel, hapo tutayafaidi matunda ya Maengineer wetu wa Tanzania. sasa siasa wao, maengineer wao, wachumi wao hatutafika kwa hilo. kwa sababu uchumi wa nchi ni mdogo na waibaji ni wengi ni vigumu sana kwa nchi kama tanzania kujenga madaraja ya kupita juu na chini kila sehemu. Tunatakiwa tutumie tulichonacho bila kuathiri maisha ya watu na maendeleo ya kiuchumi.
....mwakaleli.......karibu ..hapa tunakata issue mkuu...mwendo wa "kumkoma nyani giladi...".karibu kwenye chama ...chama ambalo mafisadi na mitandao yao wakisikia tu jina JF wanashindwa na kulegea....!!!!
endelea kukata issue kwa uhakika...