Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Jamani mngekuwa mmefiwa na ndugu zenu kwa kugongwa na magari wanao ishi kando kando ya barabara hiyo mngalikuwa mnashukuru sana tiba hiyo mbadala ya matuta ili kupunguza mwendo kasi wa magari.....
Binafsi nikiwa kama mwenyeji wa KImara nawapongeza sana TANROAD kwa kufanya hivyo kwani sasa vifo vitapungua....Ilikuwa haipiti wiki mtu hajapoteza maisha kwa ajari kwa kugongwa kutokana na mwendo kasi wa madereva........Jiulize mwenyewe kwanini ajari nyingi zinatokea katika barabara hii???
Naona ni sababu ya mwendo kasi nenda pale Manzese ilikuwa lazima kila siku mtu agongwe licha ya kuwekwa daraja lakini saizi vifo vimepungua baada ya kuweka matuta na uzio ule....
Binafsi nikiwa kama mwenyeji wa KImara nawapongeza sana TANROAD kwa kufanya hivyo kwani sasa vifo vitapungua....Ilikuwa haipiti wiki mtu hajapoteza maisha kwa ajari kwa kugongwa kutokana na mwendo kasi wa madereva........Jiulize mwenyewe kwanini ajari nyingi zinatokea katika barabara hii???
Naona ni sababu ya mwendo kasi nenda pale Manzese ilikuwa lazima kila siku mtu agongwe licha ya kuwekwa daraja lakini saizi vifo vimepungua baada ya kuweka matuta na uzio ule....