3D.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2010
- 1,018
- 282
Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa. Hata hivyo nina ushabiki mkubwa kupindukia kwa CHADEMA. Sikubaliani na matumizi ya kauli za "Mwanamke huyu si mwaminifu kwenye ndoa hivyo........" hata kama haya si matusi dhahiri. Mi namwona Lema kama mbunge mtata sana. Ukiachana na suala hili la Dr Burian kitendo cha Lema kukataa dhamana na kujipeleka mahabusu (ikumbukwe alishawishiwa sana na akina Dr Slaa akubali dhamana) kilinifadhaisha sana. Hivyo tuhuma kuwa Lema alitukana au alitoa kauli zenye mwelekeo huo hazinishangazi (Sina ushahidi (huenda nafanya ushabiki tu)).
CHADEMA wamekuwa wakibambikiwa kesi na kutikiswa hapa na pale. Paradoxically, CCM hawajui kuwa "kila mtu" anajua! Dr Slaa alikashifiwa sana wakati wa uchaguzi hata Jakaya alichangia sana katika kuongea kauli za HOVYO (herufi kubwa) "msiwachague wanaotaka kwenda Ikulu kwa kutembea juu ya maiti za watu." Hata kama Jakaya kaiba kura, hata kama kashinda kihalali; hata kama Mzee wa Upako, Askofu wangu Kilaini na Mwinjilisti Kulola wamemwita chaguo la Mungu, MZEE KIKWETE ALIONESHA KIWANGO KIDOGO SANA CHA BUSARA. Kauli za watu wa aina ya Lema, Kikwete, Lusinde na wenzao zinaleta tensions zisizokuwa na ulazima kwa nchi. Siku hizi siasa imekuwa "politicized" kwelikweli.
Nitoe angalizo tu kuwa MATUSI yaendelee kuwa sera ya CCM.CDM wana nafasi nzuri ya kusikilizwa na wananchi... waitumie nafasi hii vizuri. Kama CDM watalazimika kujadili mambo "binafsi" ya mtu sina tatizo na hilo ila lazima yawe na uhusiano na welfare ya nchi. Hatutaki habari za mimba hapa. Hata hivyo usafi wa kimaadili wa mgombea waweza kuhojiwa but kwa habari ya Dr Burian, Lema hakuwa na sababu za kuzungumzia mambo ya mimba ya Dr Burian (kwa ubaya au kwa uzuri).
Nawaombea mafanikio CHADEMA, hata wasipofanikiwa leo au kesho, watabaki katika kumbukumbuku zangu kuwa walijaribu. Hili naliweka katika maandishi. Na kwa hakika kabisa nitachangia maboresho fulani kwa CHADEMA kupitia taaluma na talents zangu, this is guarranteed.
Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki Tanganyika.
CHADEMA wamekuwa wakibambikiwa kesi na kutikiswa hapa na pale. Paradoxically, CCM hawajui kuwa "kila mtu" anajua! Dr Slaa alikashifiwa sana wakati wa uchaguzi hata Jakaya alichangia sana katika kuongea kauli za HOVYO (herufi kubwa) "msiwachague wanaotaka kwenda Ikulu kwa kutembea juu ya maiti za watu." Hata kama Jakaya kaiba kura, hata kama kashinda kihalali; hata kama Mzee wa Upako, Askofu wangu Kilaini na Mwinjilisti Kulola wamemwita chaguo la Mungu, MZEE KIKWETE ALIONESHA KIWANGO KIDOGO SANA CHA BUSARA. Kauli za watu wa aina ya Lema, Kikwete, Lusinde na wenzao zinaleta tensions zisizokuwa na ulazima kwa nchi. Siku hizi siasa imekuwa "politicized" kwelikweli.
Nitoe angalizo tu kuwa MATUSI yaendelee kuwa sera ya CCM.CDM wana nafasi nzuri ya kusikilizwa na wananchi... waitumie nafasi hii vizuri. Kama CDM watalazimika kujadili mambo "binafsi" ya mtu sina tatizo na hilo ila lazima yawe na uhusiano na welfare ya nchi. Hatutaki habari za mimba hapa. Hata hivyo usafi wa kimaadili wa mgombea waweza kuhojiwa but kwa habari ya Dr Burian, Lema hakuwa na sababu za kuzungumzia mambo ya mimba ya Dr Burian (kwa ubaya au kwa uzuri).
Nawaombea mafanikio CHADEMA, hata wasipofanikiwa leo au kesho, watabaki katika kumbukumbuku zangu kuwa walijaribu. Hili naliweka katika maandishi. Na kwa hakika kabisa nitachangia maboresho fulani kwa CHADEMA kupitia taaluma na talents zangu, this is guarranteed.
Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki Tanganyika.