Osaba
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 1,937
- 772
Just for Laughs Juzi Kibaki,Moi &Raila were kidnaped. They were taken 2 a town they dint knw. Kila mtu akaambiwa' aende anunue matunda 10 ama auliwe. Moi alikuwa wa 1st kufika na machungwa 10. Kumbe ilikuwa unawekwa hayo matunda kwa ****** ama uuliwe. Moi aliwekwa 3 ya nne akaanza kulia. Raila alikuwa wa pili kufika na grapes kumi. Kwa sababu zilikuwa ndogo aliwekwa kwa urahisi lakini alipofikisha ya tisa, alicheka, zikatoka zote. Akaulizwa mbona amecheka na alikuwa karibu kumaliza? Raila akamjibu "Nimeona Kibaki akibeba watermelon kumi"...hehehe.