Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,726
- 5,442
Nimeona niwamegee kidogo wanawake juu ya matunda muhimu ya kula wakati wa ujauzito.
Papai ni tunda ambalo mwanamke mjamzito hatakiwi kulikosa angalau kwa siku mara moja. Usiache kutumia matunda mengine pia.
Kwa wale wanaopenda kujifungua kwa njia ya kawaida (bila upasuaji) basi hakikisheni mnakunywa bilauri mbili (2) za juisi ya machungwa kila siku hasa katika mwezi wa mwisho wa ujauzito.
Papai ni tunda ambalo mwanamke mjamzito hatakiwi kulikosa angalau kwa siku mara moja. Usiache kutumia matunda mengine pia.
Kwa wale wanaopenda kujifungua kwa njia ya kawaida (bila upasuaji) basi hakikisheni mnakunywa bilauri mbili (2) za juisi ya machungwa kila siku hasa katika mwezi wa mwisho wa ujauzito.