GM7
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 492
- 24
......
Kwa lugha fulani wanayaita mafyulisi, na lugha nyingine wanayaita mapiniges.
Kwa kiswahili je????????
Mbeya ndipo mahali wanapoyaita mafyulisi (Wasafwa).
Kwa Lushoto, matunda hayo yanaitwa MAFYOKSI.
Mkuu,
Umenikumbusha mbali sana maana nilikuwa najaribu kukumbuka jina
maana nimesoma Lushoto so tulikuwa tunayachuma tu mitini yalikuwa yamejaa
tele.
<br /><font size="3"><font color="blue">Lol... umenifurahisha sana wewe Msafwa wa huko Mbeya!</font></font><br />
<br />
<font size="3"><font color="blue">Haya matunda yanaitwa Matipisi kwa baadhi ya sehemu, zaidi Arusha au Peaches kwa lugha ya Kiingereza!</font></font><br />
<br />
<font size="3"><font color="blue">Nami pia nayapenda sana, ila naboreka kwa sababu yale matunda manene na matamu sana ya jamii hiyo wanayaita "ya kizungu", wakati ya kawaida kama hayo pichani, yanaitwa ya kiswahili!- maneno mbofumbofu!</font></font>