Matumla amefuliwa kama nguo leo na Francis Miyeyusho...

mzee wa njaa

JF-Expert Member
Jun 16, 2011
1,366
223
Francis Miyeyusho kanifurahisha sana...Full konfidensi....Matumla chaliiiiiiiiiiiiii....Hongera ngumi mawe. Ila kwa point jamani.

Source: Nilikuwepo Diamond Jubilee.
 
Dah, Mi naona familia ya Matumla Imeanza Kumalizika ktk utawala wa ngumi.
 
mbwana anasumbuliwa na ring rust!mwenzake miyeyusho yupo active mara kwa mara anakuwa katika mapambano ya ushindani ila nachoamini marudiano francis atakaa!.......
 
Back
Top Bottom