BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
ha ha haa anananihii taratiiibu lol
hahahahahahahah hahahahahah haya mkuu!
ha ha haa anananihii taratiiibu lol
aisee kumbe...
baji uje kunidekea hivyo huku pm lol
Najiuliza ni kuwa sasa ni fasheni au
ndio labda waofanya hivi wanafanya makusudi
pengine wakihisi wanakuwa more sexy...hasa wasichana....
unakuta mtu mzima,na shule kaenda lakini katika mazungumzo
unasikia anasema nanilii..
akimaanisha nanihii,
zamani ilikuwa ni watoto tu ndo wenye kukosea huku,
siku hizi wasichana wakubwa tu ndo zaidi....
na idadi inaongezeka.......
sasa huwa najiuliza hivi kusema "nanilii"
ni fasheni au kunasababishwa na nini??????????
Alaaa kumbe!!a gal's gotta be shy a lil bit banaa!hilo neno linatumika kuficha neno ambalo tunaona aibu kulitamka. mbona hata baba nanilii analitumiaga akiomba nanilii?:A S-rose: