Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kadesa huyo. ]Waziri wa mambo ya ndani anasoma budget yake kama mhe zitto kupitia ipad mjengoni now!!
Waziri wa mambo ya ndani naye hajapitwa na teknolojia,anatumia ipad kuwasilisha hotuba ya wizara yake.
<br />They area all followers. Wa kwanza ndio anang'ara!
They area all followers. Wa kwanza ndio anang'ara!
<br />They area all followers. Wa kwanza ndio anang'ara!
Mkuu wa kwanza ni nani vile? Mzungu au? Tunakuwa wa kwanza kusema ziwa victoria halikuvumbuliwa na Spake kwa kuwa kulikuwa na wasukuma na wakerewe huko ziwani kabla hajaja mzungu!! Leo tunakuwa wa kwanza kusema Zitto ndio wa kwanza!! Mimi nadhani wa kwanza ni mzungu au?