sikia nikuambie, jiko la mkaa utanunua sh.30elf, gunia la mkaa sh.45elf na unaanza kupika hadi gunia liishe ni miezi 2. lakini Gas, jiko na mtungi wake pamoja na gesi yenyewe utanunua kwa sh.laki 2 na kila ges ikiisha utajaza sh.58elf kwa mtungi wa kilo 16, utatumia mwezi 1 na nusu. hebu fuatilia uone.
Haya maelezo hayana ukweli wowote jamani,gas is the best hebu jaribu utafurahia na wala hutarudia tema kutumia mkaa kamwe.sikia nikuambie, jiko la mkaa utanunua sh.30elf, gunia la mkaa sh.45elf na unaanza kupika hadi gunia liishe ni miezi 2. lakini Gas, jiko na mtungi wake pamoja na gesi yenyewe utanunua kwa sh.laki 2 na kila ges ikiisha utajaza sh.58elf kwa mtungi wa kilo 16, utatumia mwezi 1 na nusu. hebu fuatilia uone.
Unaishi wapi mkuu? Kipi kinapatikana kwa urahisi maeneo unayoishi?Habarini wakuu.
Siku zote nimekuwa nikitumia nishati ya mkaa ktk kupikia nyumbani kwangu.lkn kuna watu wamenishauri kuwa gas(oryx) ni gharama nafuu kuliko mkaa.je ni kweli jamani naombeni ushauri kabla ya maamuzi.ahsanteni
sikia nikuambie, jiko la mkaa utanunua sh.30elf, gunia la mkaa sh.45elf na unaanza kupika hadi gunia liishe ni miezi 2. lakini Gas, jiko na mtungi wake pamoja na gesi yenyewe utanunua kwa sh.laki 2 na kila ges ikiisha utajaza sh.58elf kwa mtungi wa kilo 16, utatumia mwezi 1 na nusu. hebu fuatilia uone.
Usidanganye watu! Takwimu zako si sahihi kabisa. Kwa mtumiaji wa gunia moja la mkaa kwa miezi 2, mtungi wa gas wa kilo 15 (sio 16) nina hakika atatumia miezi 4 hadi mitano. Ukweli ni kuwa gharama ya kuanzia (initial cost) ni kubwa; deposit ya mtungi na kununua jiko lenyewe, lakini gas ni nafuu mno. Mimi nina familia kubwa (watu wazima 5), tunachemsha maji ya kunywa, tunapika mara tatu kila siku, tunakaanga samaki very often: matumizi ya mtungi wa gas ni 40 days. Sembuse mtumiaji wa gunia moja la mkaa kwa miezi 2. Kama huamini invest kwenye gas utakuja kukiri hapa!
Jamani mbona mnanitisha,au inategemea na aina ya jiko,hebu niambie jiko lako ni aina gani?umezidi kunidatisha,mimi hata maji ya kunywa nachemshia kwenye umeme,lakini ni 3week tu gas imeisha.Au mtungi haujai,kulaleki nitaanza kuja na mtungi posta upimwe kabisa,siiti tena.Nielewesheni jamani nijue how to save it.
Tumia gas ni nzuri na utakua umelisaidia taifa katikaHabarini wakuu.
Siku zote nimekuwa nikitumia nishati ya mkaa ktk kupikia nyumbani kwangu.lkn kuna watu wamenishauri kuwa gas(oryx) ni gharama nafuu kuliko mkaa.je ni kweli jamani naombeni ushauri kabla ya maamuzi.ahsanteni
Mkuu hapo nami nimestuka. Kwa uzoefu wangu mtungi wa 15kg (gas) huwa natumia kwa wastani wa siku 60. Familia ya 4 people. Maharage tu ndo yanachemshiwa kwenye umeme.
none sense yani una mawazo mepesi namna hii wewe,is that all about the differenceGas ni safi (nyumba yako haichafuki)
Unatumia unapohitaji (si kama mkaa, ukishawasha hata kama ni kuchemsha chai tu basi moto hupote bure)
Unaokoa mazingira (imagine hilo gunia moja la mkaa ni sawa na miti mingapi? Na kwa mwezi unatumia magunia mangapi? Kwa mwaka je, unatumia eka ngapi za msitu?)