matumizi ya facebook yanaweza kuvunja ndoa.

ni kweli matumizi ya facebook yanaweza kuvunja ndoa,kwasababu watu wengi wanaochart kwenye facebook ni wanausisha zaidi mapenzi na sio kingine pia inawafanya watu wanakuwa so free kusema chochote na ata kukufanyia chochote,na usiweze kubisha coz inaonyesha details zako zote.

Aisee facebook watu wanatafunana asikwambie mtu. Na hizi simu za siku hizi zina internet kwa hiyo badala ya kutumia sms, watu wanachati kwenye facebook tu. Yaani there is no way unaweza kumkamata mkeo au mumeo kwenye sms. Na kuna zile zinaitwa BBM kwenye Blackberry nazo zina facilitate sana cheating.

Kwa kifupi technology has made cheating very easy!
 
haha Jf bana.. kuna watu wanajifanya hawajui facebook, wengine wanajifanya kuuliza facebook ni nini..? wengine wanajifanya ngoja nikajiunge.. hahaha asilimia zaidi ya 80% mliomu humu Jf mna facebook accounts! achei kutupotezea.. ohh facebook ndio nini....
 
hapo umenena,mume wangu kajiunga na fb kwa kujificha sijui anamaanisha nini,au ndo anatumia kutongozea ivo?wana jf mnaonaje nianze mimi kujipendekeza kwake nikitumia jina jingine kwene FB hahaaaaaaaaaaaaa then nione kama atanitongoza
hehehee imagine huko fb akutongoze utafanyaje?
 
Unapotembelea mitandao ya kijamii sio FB to ipo mingi sana unatakiwa uwe makini na details zako pia na watu unao-deal nao. Kuna maafa makubwa sana kwa jamii ya leo. Take care.
maafa yap?kuwa open mkuu!
 
Back
Top Bottom