Matumizi ya asali, tango na limao

(juice) ya limao na asali inasaidia kupunguza unene.

Uhalisia juu ya unene.

Unene unasababishwa na mambo mengi yakiwemo

• Tabia ya ulaji zaidi ya mwili unavyohitaji, mwili baada ya kuchukua hitajii lake huifadhi mabaki kama fat (mafuta) kadili unavyokula zaidi vyakula vya mafuta ndivyo unavyooongeza mafuta.
• Kutofanya mazoezi ya kutosha
• Mfumo wa umeng’enyaji chakula kutofanya kazi vizuri
• Kula vyakula vinavyozozolotesha uharakishwaji wa mfumo wa umeng’enywaji kama maziwa au nyakati za usiku. au kupenda kunya maji ya baridi baada ya chakula N.k

Asali na limao zote zinakemikali itayokusaidi kurahisisha umeng’enywaji kufanyika haraka hivyo utaweza kusikia njaa baada ya muda Fulani (huwenda ikawa ni mapema kuliko kawaida). Ikiwa utaendelea kula kila usikiapo njaa tiba hii haiwezai kukusaidia lolote.

Nilazima wakti Fulani tumbo lako liwe


tupu ili mwili utumie ziada ya chakula ulichohifadhi kama fat (mafuta).



Pia juice ya limao na asali zote zinasaidia kuifanya fati iliyopo mwilini mwako kutumika, utakuwa unajisikia njaa zizuie kula kila mara

pia zizuie kula vyakula nyenye fati nyingi kama chipsi nyama choma ya mbuzi , supu etc


Faida nyingine ya juce ya limao na asali zinasaidia kuuwa bacteria ambao kwa namna moja au nyingie wanadhorotesha mfumo wa

chakula na utoaji taka kufanya kazi vizuri. Kuvisaidia kufanya kazi vizuri kunya maji ya kutosha ikiwezekana ya vuguvugi.


Hitimisho

Tujiepushe kujiua kwa kujijengea kuwa na tabia ya kula vyakula vya mafuta bila kufanya kazi au mazoezi ambayo hupunguza mafuta

mwilini. Zamani watu wengi walikuwa wanona unene ni sifa hata ukisia mtu akisema ‘umependeza umekuwa mnene’. Lakini ukweli ni

kuwa unene umuweka mtu ktk mazingira hatarishi ya magonjwa malimabali ya viungo vya ndani kama Moyo, kuziba kwa mishipa ya damu, etc.


Tafit zianaonesha kuwa mafuta mwilini ni kama vichaka vya virusi na bacteria mbalimbali kujificha inakuwa ngumu kwa chembe

nyeupe za damu (ambazo hujulikana kama askri wa mwili) kufikia na kuwaua.


Jiadhali na tabia hatarishi………punguza mafuta unapopika, usile vitu vingi vya sukari kwa siku, fanya mazoezi, kunywa maji ya

kutosha, juepushe kujaza tumbo unapokula acha nafasi.Mkuu.@
BRAND cc kikahe cc gody Nyie ni nani aliye waambieni kuwa Asali

na Limau kuwa ni sumu? au Asali na Matango ni sumu? acheni maneno yenu ya Uzushi huo. Mimi ninakula kila siku Asali na Tango au

asali na Limau na Maji ya Uvuguvugu mbona sijadhurika?

chanzo.https://www.jamiiforums.com/jf-doct...nasaidia-kupunguza-mtu-unene.html#post2449397

Mh mzizikavu hebu nisaidie pia kujua kama Kuna uhusiano wowote Kati ya limau,asali na maji kama tiba ya flu,nimesikia watu wakisema ni tiba.
 
(juice) ya limao na asali inasaidia kupunguza unene.

Uhalisia juu ya unene.

Unene unasababishwa na mambo mengi yakiwemo

 Tabia ya ulaji zaidi ya mwili unavyohitaji, mwili baada ya kuchukua hitajii lake huifadhi mabaki kama fat (mafuta) kadili unavyokula zaidi vyakula vya mafuta ndivyo unavyooongeza mafuta.
 Kutofanya mazoezi ya kutosha
 Mfumo wa umengenyaji chakula kutofanya kazi vizuri
 Kula vyakula vinavyozozolotesha uharakishwaji wa mfumo wa umengenywaji kama maziwa au nyakati za usiku. au kupenda kunya maji ya baridi baada ya chakula N.k

Asali na limao zote zinakemikali itayokusaidi kurahisisha umengenywaji kufanyika haraka hivyo utaweza kusikia njaa baada ya muda Fulani (huwenda ikawa ni mapema kuliko kawaida). Ikiwa utaendelea kula kila usikiapo njaa tiba hii haiwezai kukusaidia lolote.

Nilazima wakti Fulani tumbo lako liwe


tupu ili mwili utumie ziada ya chakula ulichohifadhi kama fat (mafuta).



Pia juice ya limao na asali zote zinasaidia kuifanya fati iliyopo mwilini mwako kutumika, utakuwa unajisikia njaa zizuie kula kila mara

pia zizuie kula vyakula nyenye fati nyingi kama chipsi nyama choma ya mbuzi , supu etc


Faida nyingine ya juce ya limao na asali zinasaidia kuuwa bacteria ambao kwa namna moja au nyingie wanadhorotesha mfumo wa

chakula na utoaji taka kufanya kazi vizuri. Kuvisaidia kufanya kazi vizuri kunya maji ya kutosha ikiwezekana ya vuguvugi.


Hitimisho

Tujiepushe kujiua kwa kujijengea kuwa na tabia ya kula vyakula vya mafuta bila kufanya kazi au mazoezi ambayo hupunguza mafuta

mwilini. Zamani watu wengi walikuwa wanona unene ni sifa hata ukisia mtu akisema umependeza umekuwa mnene. Lakini ukweli ni

kuwa unene umuweka mtu ktk mazingira hatarishi ya magonjwa malimabali ya viungo vya ndani kama Moyo, kuziba kwa mishipa ya damu, etc.


Tafit zianaonesha kuwa mafuta mwilini ni kama vichaka vya virusi na bacteria mbalimbali kujificha inakuwa ngumu kwa chembe

nyeupe za damu (ambazo hujulikana kama askri wa mwili) kufikia na kuwaua.


Jiadhali na tabia hatarishipunguza mafuta unapopika, usile vitu vingi vya sukari kwa siku, fanya mazoezi, kunywa maji ya

kutosha, juepushe kujaza tumbo unapokula acha nafasi.Mkuu.@BRAND cc kikahe cc gody Nyie ni nani aliye waambieni kuwa Asali

na Limau kuwa ni sumu? au Asali na Matango ni sumu? acheni maneno yenu ya Uzushi huo. Mimi ninakula kila siku Asali na Tango au


asali na Limau na Maji ya Uvuguvugu mbona sijadhurika?

chanzo.https://www.jamiiforums.com/jf-doct...nasaidia-kupunguza-mtu-unene.html#post2449397


Mkuu MziziMkavu kwa upande
wangu umeni quote tofauti kabisa hebu rejelea post yangu post yangu
mim sikusema kuwa asali na limao sumu ila milizungumzia kuhusu asali na tango
lkn bado nilitumia heshima kukuita/kukunotify na kusema mimi sio Dr ila yupo m1 wao wa dr wetu!! Mkuu kumbuka mara nyingi tu umekuwa ukisaidia baadhi ya vitu humu kumbuka avatar na username yangu kama nimewah kukusea busara zozote tena ktk watu ninaowaheshimu na niliowakuta u're among of them! Kama nikweli niyasemayo na imani utatengua kauli yako hapo kwenye Blue!
Kweli kabisa hapo pamenifanya nijiskie vibaya kwa kukosolewa kwa staili hiyo nilitegemea ungenisahihisha hata mleta mada kashukuru kasahihishwa alivyokuwa anaelewa kwa hata Herbalist huwa wanatofautiana
kama TFDA ilivyoona kuwa mafuta ya ubuyu sumu kama chakula lakin walipitisha diclopar na diclofenac zitumike af Radio dutch velle ya ujeruman kuwa ni
sumu inayoleta kansa!!
Ipi ni ipi??
 
Last edited by a moderator:
Mimi najua kwamba ukichanganya asali na tango ndiyo sumu. LAKINI sijawahi kufanya hiyo experiment ila nachukua tahadhari kubwa sana kuchanganya hivyo vyakula viwili nsjie nkafa bure, mwanangu bado mdogo.
 
Amani kwenu wanajukwaa. Naomba kujua kitaalam iwapo kuna madhara ya kula tango na asali au limao kwa wakati mmoja, maana kuna rumours kwamba mchanganyiko wa asali ama na limao au na tango hufanya sumu hatari ikiwa utatumika kwa kula.
 
TANMO Simaanishi mchanganyiko bali ni kula hivyo vitu separately ndani ya muda mfupi hata kama si kwa kukusudia.
 
Amani kwenu wanajukwaa. Naomba kujua kitaalam iwapo kuna madhara ya kula tango na asali au limao kwa wakati mmoja, maana kuna rumours kwamba mchanganyiko wa asali ama na limao au na tango hufanya sumu hatari ikiwa utatumika kwa kula.

Ni kweli mi najua asali na tango ukila pamoja nasikia unakufa inakaba au inakwama kwenye koo unashidwa kupumua vzr.
 
asali na limao sidhani kama italeta sumu...ila tango ndio utofautishe muda kidogo si kwamba ukichanganya utakufa siku hiyohiyo, hapana....ni muingiliano wa vimeng'enya unatokea unaotengeneza sumu kidogo.... sasa sumu kidogo kidogo mwisho wa siki ni tatizo hasa ikiwa mwili wako hauko imara... hilo limao uwe unachanganya kwenye maji glass moja kunya kila siku asubuhi kabla ya chakula kulipa ini nguvu ya kupambana na sumu kama hizo.
 
Hizi stori nimekuwa nikizisikia tangu primary. Zina ukweli wowote au stori za vijiweni. Nisaidieni wazee manake leo nimejisahau. Niliweka asali kwenye mkate nikagonga na chao iliyochanganywa na limao. Si unajua nina mafua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom