Matumizi ya asali, tango na limao

Je tango na asali je?? nilisikia pia ni sumu mbya....Mzizi Mkavu tujuze kaka....:juggle:
Asali na Ndimu sio sumu wala Asali na Tango sio sumu vyote hivyo ni vyakula tu alivyoumba Mwenyeezi Mungu. Viko vyakula ukivichanganya vinaleta Madhara kwa binadamu lakini sivyo hivyo nilivyo vitaja mkuu achana na hao wazushi wa mambo kuuliza hawaulizi eti wao wakisikia kwa Wazee wao wa kizamani wanaamini bila ya kufanya utafiti.
 
Duuh,jamani duniani kuna mambo,maana aliyeniambia kuwa ukichanganya hivyo vi2 vi2 inakuwa sumu,kwa kweli alisema kwa comfidence ya ajabu na msisitizo sana hata nikaogopa sana,anyway i'll try to mix an see

Ukijaribu shauri yako
 
ndugu wana jf nimekuwa nikisikia kwa muda mrefu sana tangu nikiwa mdogo kwamba ukila asali halafu muda mfu ukaamua kula limao ni lazima utakufa! naombeni maelezo ya kweli kuhusu hili jambo kwani nimeona hata baadhi ya watu wazima kabisa wakiamini hivyo! thanks!
 
ndugu wana jf nimekuwa nikisikia kwa muda mrefu sana tangu nikiwa mdogo kwamba ukila asali halafu muda mfu ukaamua kula limao ni lazima utakufa! naombeni maelezo ya kweli kuhusu hili jambo kwani nimeona hata baadhi ya watu wazima kabisa wakiamini hivyo! thanks!

Tumsubirie Mzizi mkavu ndiyo mtaalamu wa haya mambo
 
Ninachofahamuu mm nikuwa limao na asali unaweza kukohoa sana na watu wengi niliwahi kuwasikia kuwa utakohoa then una die
lkn sidhani kama kuna ukweli wowote juu ya hili!
Ila ninachojua kuwa ukinywa asali nyingi kama 1 teacup afu ukala tango hapo ndo unaweza ukafa kifo laiiniii! Otherwise unaweza ishiwa nguvu sana na baada ukaamka!!
Ni hayo tu ila mimi sio Dr.
Huyu ndo mmoja wa madr hapa jf aitwa MziziMkavu !!
 
Last edited by a moderator:
ndugu wana jf nimekuwa nikisikia kwa muda mrefu sana tangu nikiwa mdogo kwamba ukila asali halafu muda mfu ukaamua kula limao ni lazima utakufa! naombeni maelezo ya kweli kuhusu hili jambo kwani nimeona hata baadhi ya watu wazima kabisa wakiamini hivyo! thanks!

Tumsubirie Mzizi mkavu ndiyo mtaalamu wa haya mambo

Ninachofahamuu mm nikuwa limao na asali unaweza kukohoa sana na watu wengi niliwahi kuwasikia kuwa utakohoa then una die
lkn sidhani kama kuna ukweli wowote juu ya hili!
Ila ninachojua kuwa ukinywa asali nyingi kama 1 teacup afu ukala tango hapo ndo unaweza ukafa kifo laiiniii! Otherwise unaweza ishiwa nguvu sana na baada ukaamka!!
Ni hayo tu ila mimi sio Dr.
Huyu ndo mmoja wa madr hapa jf aitwa MziziMkavu !!

(juice) ya Limao na Asali inasaidia Kupunguza Unene.


Uhalisia juu ya unene.

Unene unasababishwa na mambo mengi yakiwemo

Tabia ya ulaji zaidi ya mwili unavyohitaji, mwili baada ya kuchukua hitajii lake huifadhi mabaki kama fat (mafuta) kadili unavyokula zaidi vyakula vya mafuta ndivyo unavyooongeza mafuta.
Kutofanya mazoezi ya kutosha
Mfumo wa umeng'enyaji chakula kutofanya kazi vizuri
Kula vyakula vinavyozozolotesha uharakishwaji wa mfumo wa umeng'enywaji kama maziwa au nyakati za usiku. au kupenda kunya maji ya baridi baada ya chakula N.k


Asali na limao zote zinakemikali itayokusaidi kurahisisha umeng'enywaji kufanyika haraka hivyo utaweza kusikia njaa baada ya muda Fulani (huwenda ikawa ni mapema kuliko kawaida). Ikiwa utaendelea kula kila usikiapo njaa tiba hii haiwezai kukusaidia lolote.

Nilazima wakati Fulani tumbo lako liwe

tupu ili mwili utumie ziada ya chakula ulichohifadhi kama fat (mafuta).

Pia juice ya limao na asali zote zinasaidia kuifanya fati iliyopo mwilini mwako kutumika, utakuwa unajisikia njaa zizuie kula kila mara

pia zizuie kula vyakula nyenye fati nyingi kama chipsi nyama choma ya mbuzi , supu etc


Faida nyingine ya juce ya limao na asali zinasaidia kuuwa bacteria ambao kwa namna moja au nyingie wanadhorotesha mfumo wa

chakula na utoaji taka kufanya kazi vizuri. Kuvisaidia kufanya kazi vizuri kunya maji ya kutosha ikiwezekana ya vuguvugi.


Hitimisho
Tujiepushe kujiua kwa kujijengea kuwa na tabia ya kula vyakula vya mafuta bila kufanya kazi au mazoezi ambayo hupunguza mafuta

mwilini. Zamani watu wengi walikuwa wanona unene ni sifa hata ukisia mtu akisema umependeza umekuwa mnene? Lakini ukweli ni

kuwa unene umuweka mtu katika mazingira hatarishi ya magonjwa malimabali ya viungo vya ndani kama Moyo, kuziba kwa mishipa ya damu, etc.


Tafit zianaonesha kuwa mafuta mwilini ni kama vichaka vya virusi na bacteria mbalimbali kujificha inakuwa ngumu kwa chembe

nyeupe za damu (ambazo hujulikana kama askri wa mwili) kufikia na kuwaua.

Jiadhali na tabia hatarishi punguza mafuta unapopika, usile vitu vingi vya sukari kwa siku, fanya mazoezi, kunywa maji ya

kutosha, juepushe kujaza tumbo unapokula acha nafasi.Mkuu.@
BRAND cc kikahe cc gody Nyie ni nani aliye waambieni kuwa Asali

na Limau kuwa ni sumu? au Asali na Matango ni sumu? acheni maneno yenu ya Uzushi huo. Mimi ninakula kila siku Asali na Tango au

Asali na Limau na Maji ya Uvuguvugu mbona sijadhurika?

chanzo.Juice ya limau na asali inasaidia kupunguza mtu unene
 
Ahahahahahhhh, ungekufa sijui nani angeleta huu ushuhuda hapa, lol!
Mi nimejaribu saa 2:30
nikasubiria kufa mpaka saa 4 usiku, lakini sikufa. Nikapitiwa na
usingizi, nimekurupuka saa iv saa 8:20 nipo hai tu.
Uzushi tu.
 
ndugu wana jf nimekuwa nikisikia kwa muda mrefu sana tangu nikiwa mdogo kwamba ukila asali halafu muda mfu ukaamua kula limao ni lazima utakufa! naombeni maelezo ya kweli kuhusu hili jambo kwani nimeona hata baadhi ya watu wazima kabisa wakiamini hivyo! thanks!
BRAND sio kweli hata kidogo. Asali na limao pia ni dawa nzuri ya kikohozi (lakini katika hatua ya awali kabisa hasa kwa watoto), ambapo asali ikichanganywa na limao kidogo na ukala inasaidia kupunguza kikohozi. Hata hivyo kikohozi kikiendelea mwone daktari!
 
Daaah...yaani ingekuwa kweli muda huu watu wangekuwa wanaimba parapanda italia kwani asubuhi hii tu nimepata glass ya juice ya limao na asali...na ni my daily routine....ahsante doctor mzizi kwa ufafanuzi wa ziada
 
Mi nimejaribu saa 2:30 nikasubiria kufa mpaka saa 4 usiku, lakini sikufa. Nikapitiwa na usingizi, nimekurupuka saa iv saa 8:20 nipo hai tu.
Uzushi tu.

Teh teh teh teh,kwa hyo bro seriously ulikuwa unataka kujiua??,unapaswa uende ukapate ushauri nasaa kwa mtaalam ili uachane na mawazo ya kujiua Mkuu
 
Mi nimejaribu saa 2:30 nikasubiria kufa mpaka saa 4 usiku, lakini sikufa. Nikapitiwa na usingizi, nimekurupuka saa iv saa 8:20 nipo hai tu.
Uzushi tu.

Hahaha KakaJambazi umenichekesha kwa experiment yako. Kuna watu wengi walishawahi kulala wakaamka wakajikuta wameshakufa hahah... Ingekutokea je?
 
Last edited by a moderator:
daah! nd4doctor2000 pamoja na mzizimkavu na wengine wote mliochangia nashukuru nimewaelewa kwamba asali na limau vikitumiwa kwa pamoja havina madhara! thanks kwa elimu ya buuuuuureee!!
 
Mi nimejaribu saa 2:30 nikasubiria kufa mpaka saa 4 usiku, lakini sikufa. Nikapitiwa na usingizi, nimekurupuka saa iv saa 8:20 nipo hai tu.
Uzushi tu.
Ha ha ha. Lol! This has made my day. Let the weekend begin!!
 
Mkuu Mshindo si ningekua nimependwa zaidi! Huenda sa ivi nachukiwa ndo mana nipo bado hai. Nina huzuni sana.

Hahah...mkuu umependa kupendwa desparately namna hiyo? Angalia lakini unaweza "kupendwa" upande ule mwingine wa naniliu. Sio wote wanaokufa wamependwa mahala "pema" atii...
 
Mi nimejaribu saa 2:30 nikasubiria kufa mpaka saa 4 usiku, lakini sikufa. Nikapitiwa na usingizi, nimekurupuka saa iv saa 8:20 nipo hai tu.
Uzushi tu.
kafanye na hii! lamba asali then shushia na tango utaona habari yake!kama utafanikiwa kuamka kesho asubuhi ! ukifanikiwa najiondoa JF milele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom