Matumizi ya asali, tango na limao

Mimi nimewahi kusikia ukila tango na asali ni sumu inayoua mara moja. Kuna mwingine amewahi kusikia hilo? Kuna ukweli wowote?
 
Duuh,jamani duniani kuna mambo,maana aliyeniambia kuwa ukichanganya hivyo vi2 vi2 inakuwa sumu,kwa kweli alisema kwa comfidence ya ajabu na msisitizo sana hata nikaogopa sana,anyway i'll try to mix an see

Wewewewe! Ucjaribu asee manake hiyo nisum zaid ya ddt utawapa shida ndugu yako na watoto wako!
 
Labda kwa kuwa unatumia chaini na majini,wanasema ukichanganya moja kwa moja,inaleta reaction ambayo inavuruga na kukata kata utumbo na kusababisha kifo cha ghafla
Wewe nani kakufundisha kuwa asali na ndimu kuwa ni sumu?mimi nikiumwa na Mafua huku niliko natumia limao pamoja na asali na maji ya uvuguvgu mbona sijakufa? kama kitu haujuwi bora uulize sio kusikia tu usizushe maneno tu kama hujuwi uliza.
 
Je tango na asali je?? nilisikia pia ni sumu mbya....Mzizi Mkavu tujuze kaka....:juggle:

MDALASINI, TANGO NA ASALI....



Jamani wenzangu nina jambo mlikuwa mnajua kama mdalasini, asali na tango ni dawa ya kumpa mtu nguvu kwenye mechi? kama ulikuwa hujui ndio ufahamu eti..

Kuna dada mmoja alikuwa analalamika mpenzi wake nguvu kitandani hana, anasema jamaa akishatoa moja tu basi nguvu zote zinaisha jamaa hawezi hata kurudia ya pili, na hapo mwanamke wake huyo anakuwa hajatosheka lakini jamaa hajiwezi kabisa..

Sasa huyu dada akawa anaomba ushauri kwa watu wazima akiwaeleza swala lake na mumewe watu wengi wakawa wanamshauri mengi tu pamoja na ya kwamba mumewe anywe maji ya mchele yale ya kwanza, sijui mwengine akamwambia anywe maji ya madafu kwa wingi na wengine wakimwambia aende kutafuta dawa za miti shamba...

Akafika kwa bibi mmoja wa zamani (umri umeenda) yule bibi akamwambia yule dada ampe mumewe mdalasini pamoja na asali achanganye kwa pamoja atie na maji ama aiweke kwenye chai, halafu kila chakula cha yule baba kisikose kipande cha tango..

Yule dada akafanya kama alivyoambiwa na yule bibi, sasa hivi dada anafuraha mambo si shwari, kwahiyo huu ni ushauri tu ya kwamba ukiona mwezio nguvu hana akienda moja anahema kama kasukuma trekta, mwanaume anahema kama presha imeshuka (hehehe) basi sio vibaya ukijaribu hayo..

lakini naomba niseme sio tu kwasababu huyu dada yeye mpenzi wake alipata nafuu ndio kila mtu itakuwa hivyo wengine vyao vya kurithi utalisha hivyo vitu milele jamaa hata kubadilika asibadilike...
Chanzo: MWANAMKE NA NYUMBA: MDALASINI, TANGO NA ASALI....

Hakuna Madhara kuchanganya Tango na Asali
 
poleni sana ukweli ni huu hapa Asali na limao ni dawa ya kumengenya chakula.
Asali na Ndimu ni sumu tena inaua naomba usijalibu kuitumia kabisa
 
poleni sana ukweli ni huu hapa Asali na limao ni dawa ya kumengenya chakula.
Asali na Ndimu ni sumu tena inaua naomba usijalibu kuitumia kabisa
Kakwambia nani wewe kuwa Asali na ndimu ni sumu mimi mbona huku natumia kila siku asubuhi kwa ajili ya ugonjwa wa mafua?je unao ushahidi kuwa asali na ndimu ni sumu ? tupe ushahidi wako?
 
Mimi nimewahi kusikia ukila tango na asali ni sumu inayoua mara moja. Kuna mwingine amewahi kusikia hilo? Kuna ukweli wowote?
Hata mimi nimweahai kusikia tango, asali na ndimu ukivichanganya pamoja ni sumu inayoua mara moja labda tupanye majaribio kwa kumnywesha paka au panya.
 
MDALASINI, TANGO NA ASALI....





jamani wenzangu nina jambo mlikuwa mnajua kama mdalasini, asali na tango ni dawa ya kumpa mtu nguvu kwenye mechi? kama


Hakuna Madhara kuchanganya Tango na Asali
Ni dawa lakini hachanganyi paoja yaani tango, asali na mdalasini si unaona tango linaliwa na chakula.

Mchanganyiko wa asali na tango kwa pamoja kama uchanganyavyo limao ndio sumu. Nimesikia sijafanya majaribio................
 
Thanks,walioniambia walizungumzia hasa hilo suala la reaction,na wakasema kuwa hiyo reaction inavuruga na kukatakata utumbo na kusababisha sudden death!
Sss..sa..sasa si.sisiungejaribu uone kama utapata sudden death...tehee!!
 
hakuna sumu hapo. mimi napiga asali ndimu kila asubuhi, au ndio nimeshakufa lakini sijijui!!!
Na Mimi huwa napiga asali ndimu na maji ya Uvuguvugu kila siku asubuhi kwa jaili ya kinga ya Mafua huku nilipo ninafikiri na mimi nimesha kufa Lakini sijijuwi ?????? Mkuu waambie hao waache imani Potofu hiyo.
 
Madai haya huenda niya kwel hvy 2fanye tafit kuptia wanyam. Ila mchanganyo huu unapotumika external n dawa ya ngozi yenye mafuta na chunus, kwan lmao huondo na kupunguza mafuta na kupunguza bacteria kwenye ngozi, huku asali ikiondoa madoa ya makov madogo ya upele au chunus na kulainisha ngozi kwa aina yake, pia hukinga ngoz kwa % kadha kutokana na mionzi ya jua. Utumiaji ni mara moja au 2 kwa cku, jion / asubuhi.
 
Sio kweli mdau
ndo dawa yangu ya kikohoz hyo
naomba msaada Great thinkers,je ni kweli kuwa ukichanganya asali na ndimu/limao inakuwa sumu kwa binadamu?je kuna ukweli wowote wa kisayansi(chemistry)?
 
hebu nikajaribu ntarudi na majibu baada ya 24hrs make naona kila mmoja anaogopa! Mkiona sionekani tena ujue nimerest tayari! Hebu nifanye kuanzia asubuhi hii
 
wakuu, mimi nimeshatumia sana chai iliyochanganywa na asali na ndimu na sijapata tatizo lolote lile
 
Jaribio langu la kwanza kabisa la kikemia ilikua kuchanganya magadi na ndimu. Likitoka povu nikaambiwa eti huko tumboni itareact hivyo hivyo. Sio kweli nadhani manake hizo acid za tumboni ni zaidi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom