Babu Swahili
Member
- Jan 8, 2009
- 41
- 6
Nimepewa taarifa na mjukuu'angu mmoja ya kwamba kuna uharibifu mkubwa sana wa lugha yetu ya kiswahili humu jamvini. Kwa hiyo nimekuja hapa kuwa adhibu wale wote wanaoharibu lugha yetu takatifu.
Nikianzia na hawa hapa:
Sio Mwulize, ni Muulize
Sio Najuwa, ni Najua
Endeleeni kuchambua mambo mbalimbali, lakini mjue ya kuwa nina macho makali sana ya kunasa kila uchafuzi wa lugha yetu.
Ndimi Babu Mswahili
Nikianzia na hawa hapa:
Kama unabisha we mwulize tu, atakwambia....
https://www.jamiiforums.com/complai...usioyajua-kuhusu-memba-wa-jamii-forums-7.html
Sio Mwulize, ni Muulize
...zaidi ya kushukuru sana kwa heshima hii lakini kachelea kusema kuwa ..mimi ni sawa na "kichuguu mbele ya mlima kilimanjaro"....sidhani hata kama nilitegemea kuwa recognised au sembuse kuambiwa ahsante katika wajibu....!...najuwa kuna vichwa humu ndani ni adimu ...mmoja wapo ni wewe steve d na kibunango!!!...MUNGU AWAJAZE TELE!!!
https://www.jamiiforums.com/complai...-phillemon-mikael-kwa-mabandiko-2000-a-4.html
Sio Najuwa, ni Najua
Endeleeni kuchambua mambo mbalimbali, lakini mjue ya kuwa nina macho makali sana ya kunasa kila uchafuzi wa lugha yetu.
Ndimi Babu Mswahili
Last edited by a moderator: