Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Nakuja Arusha huko .........in less than one year nitakuwa nitashatia timu huko kuendeleza maisha yangu pande hizo ...na nakuja nikiwa single digit....sasa ole wako uwe hujaolewa....Ivuga naomba basi uwe unanisindikiza gym.......nikienda mwenyewe nitapata uvivu
basi ukiona hivyo umezoea mipira iliyokufa:boom:mbona sio yakutisha kihivyo, naona wapo poa tu
Nakuja Arusha huko .........in less than one year nitakuwa nitashatia timu huko kuendeleza maisha yangu pande hizo ...na nakuja nikiwa single digit....sasa ole wako uwe hujaolewa....
Deal yetu ya nyara za serikali inakuaje?<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">karibu sana......tutaongea zaidi tukiwa gym</span></font></font>
Deal yetu ya nyara za serikali inakuaje?
Kitimoto pori, nakuja j5, na nilazima upike wewe mwenyewe shemeji!
Ivuga naomba basi uwe unanisindikiza gym.......nikienda mwenyewe nitapata uvivu
Haa wapi si useme tu ni VIDONGE na SINDANO za Majira.
Kifupi hata upige vipi mazoezi hakuna kitu!