Matumaini mapya yameanza kuchomoza - Zitto Kabwe

Ribosome acha uongo Tanzania haina % yoyote ya share kwenye migodi ya madini, tunachopata mpaka sasa ni hiyo 4% na hizo indirect tax ambazo kimsingi ni watanzania wenyewe huzilipa, tunataka sasa kuwe na utaratibu wa nchi kumiliki angalau 25% ya share ili tuweze kupata angalau sehemu ya mapato wanayovuna wawekezaji. Angalia Tanzanite One wame-declare uvunaji wa carrat 2.5million ilhali royalties iliyolipwa ni usd 400,000 tu! Kama si ufisadi wa kuhongwa kopo la peanut butter wakati unaruhusu gunia la karanga kuibwa tulipaswa kukusanya angalau usd 6.5million kwa grade ya chini kabisa.

Tatizo hujui unachokisema, unakisia tu.

Ni mtaji gani Tanzania unaolipiwa kodi?
 
badala ya serikali kutuma wahandisi na watafiti waliobobea kwenye fani hiyo ya nishati wanatuma wabunge/wanasiasa? so wanasiasa watakuja kuwafundisha wahandisi namna ya kutafuta gesi na mafuta au itakuwaje?? wastage of of public funds!!
Pole kijana, Hii ni juhudi binafsi ya wabunge na serekali aihusiki hapo, sasa jiulize serekali yako inafanya nini? hivi unategemea wapo tayari kwa uwazi?
 
Nimemsoma Zitto,kuna kitu sijakiekewa.Je Zitto amekwenda kama Mtaalam wa Mambo ya Gas na Mafuta au kama mwanasiasa anayejua mikataba ya kimataifa ya Gas na Mafuta?,au kama nani?,sielewi.

Ni vema urudi Darasani,Mtanzania mzalendo kwenye hili unaweka siasa,kwani ameenda kwa maslahi ya chadema au?
 
Wataalam wanaachwa wanaenda wabunge/politicians. usome uchumi halafu ukajifunze gas over night. Hapa ndo tunapopotea, ziara za mafunzo kwa mawaziri kibao wataalam wanaachwa maofisini kesho anahamishwa, hamna kitu hapo.
You are absolutely Right! Ni kweli kabisa! Hii ni kasoro kubwa!
 
Mbio kuelekea urais 2015,simpend xana huyo dogo anapenda xana personal popularity hafanyi vitu kwa dhamira ya kwel bt PP
 
Netherlands
revenues: $392.1 billion
expenditures: $424.8 billion (2011 est.)
85% yake ni kama $ 333.2 billion while sisi kwenye madini tunaambulia 4%
Ivi Tz kama serikali haiwezi ata kureserve baadhi ya maeneo ili tuyafanyie utafiti sisi kama sisi na tuje kuvuna iyo gas kama Tz kwa kutumia ela ambayo tutaipata toka kwa makampuni ambayo yataanza kuvuna gas.
Maana kwa sasa wako bize na ugawaji wa ivyo vitalu vya kutafit as if iyo gas uko chini inaisha!


Kwa kweli hata mimi huwa najiuliza kunani mpaka jamaa wagawe vitalu vya utafiti wa gezi utadhani tuna mpango wa kuhama hii nchi hivi karibuni. Hivi haiwezekani kugawa vichache na kuviendeleza mpaka tuone matokeo ili tuweze kuamua iwapo tunahitaji kuendelea na hiyo biashara au la?
 
Ronal si unajua mikozi yao hawa jamaa huchukua mda mrefu sana!
Kuna jamaa alienda kamua mambo ya maji from masters mpaka PHD alikula 15 years!
Usikute nae yalimkuta hayo!Au aliunga na kaajira kidogo.
Ila kwenye lile kundi naona kama wote ni wabunge nadhani wakija wanaweza kuja na proposal ya kupeleka wataalamu ili wakienda wataalamu wa hayo mambo tuu kuwe na 2nd eye si unajua Tz kwa sasa changa la macho au kuingizwa chaka ni kitu cha kawaida
 
No issue kama hizi za maslah ya nchi huwa wanaenda kwanza wakubwa kuongea kikubwa na negotiation ya kupeleka wataalam ndo huwa inajadiliwa hapa.Hii ni kwa nchi zote sio Tz tu,seikali ipo sahihi kabsa
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom