R_chuggani
Member
- Nov 29, 2010
- 18
- 0
Mgonjwa wa mguu kufanyiwa operation ya kichwa and vice versa,richman kuja kumtetea madam aliyedondoshwa jimbo la arusha mjini,prezdaa kuunda tume itakayoshughulikia katiba mpya badala ya mawazo kutoka kwa wananchi,mrema kuomba shavu la naibu waziri mkuu...........................................................................NLIKUA NASAHAU MARA CHENGE AUA WANABAJAJI AKAPIGWA FAINI YA MADAFU(700,000)