matukio makubwa ya kufungia mwaka 2014 kwa taifa letu.

Tky

JF-Expert Member
Oct 1, 2012
439
140
Matukio makubwa ya kufungia mwaka 2014. Ambayo kamwe historia yake haitasaurika.
1. Mchakato wa katiba ulivyo enda kimagumashi mwaka 2014.
2. Kuundwa kwa umoja wa katiba ya wananchi yana UKAWA
3. Sakata la ESCROW mpaka watu wakaitwa tumbili.
4. Uchaguzi wa serikali za mitaa na jinsi CCM ilivyo lizwa maeneo mengi.
5. Hutuba ya Rais Prof. JK alipo hutubia wazee wa CCM Dar es salaam.
6. Tezi dume.
7. Operesheni Tokomeza - hii
iliacha wengi wakiwa vilema
na wafu.
8. Ahadi kwa Waislamu
kupewa Mahakama ya Kadhi
Januari 2015 - hili busara ya
hali ya juu isipotawala ni
bomu jingine.
9. Njama za kudunguliwa
helkopta ya viongozi wa
Chadema zawekwa wazi.
10. Tuhuma za ugaidi wa
Lwakatare zatupiliwa mbali.
11. Chadema/CUF vyafanya
Uchaguzi Mkuu kwa mujibu
wa Katiba zao pamoja na
matishio ya msajili.
12. Njama zaundwa
kuwatimua wakazi wa
Loliondo kwenye makazi yao
ya asili in favor of Mwarabu.
13. Mmoja wa waliowahi
kuwa viongozi wa Chadema
atimuliwa.
14. Wakazi wa Dar wasota
kwenye foleni masaa kadhaa
kutokana na ufinyu wa
miundombinu; ahadi ya
flyovers yaota mbawa.
15. Marcio Maximo aliyewahi
kuwa kocha Mkuu wa Taifa
Stars ajiunga Yanga. Atupiwa
virago miezi sita baadaye
baada ya kichapo cha nani
mtani jembe.
16. Mh. avunja rekodi ya
kusafiri.
17. Warioba, Makamu wa
Rais Mstaafu ashambuliwa
na wahuni wa CCM.
18. Wasomi watia aibu: Prof.
Shivji na Dr. Mwakyembe
wakana maandiko yao. Prof.
Tibaijuka, Prof. Muhongo wa-
prove failure katika nafasi
zao.
19. Tanzania yazidi kutia aibu
katika medani za kimataifa:
soka, madawa ya kulevya,
n.k.
20. Mhubiri chuki maarufu -
Ilunga Kapunga afariki dunia
na kuzikwa Magomeni Dar es
Salaam.
21. Mwaka 2014 wavunja
rekodi kwa vifo vya wasanii;
wakongwe na chipukizi.
22. Uandikisha daftari la
mpiga kura wafanyika kwa
majaribio - malalamiko kila
kona ya maeneo husika.
23. Waziri Kiongozi akiri bila
Tanganyika, Zanzibar haiwezi
kusimama yenyewe.
24. IGP astaafu rasmi;
ateuliwa mwingine.
25. DPP abadilishwa.
26. JK avunja rekodi kwa
kugawa mikoa na wilaya.
27. TRA wabadili namba za
pikipiki na bajaj kwenda MC
101 AAA kana kwamba
halikuonekana mwanzoni
wakati namba mpya za
vyombo vya moto
zilipobuniwa - poor planning.
28. Tanzania yazidi kutengwa
EAC.
29. n.k.
Ongezea na la kwako ambalo hutolisahau.
 
Matukio makubwa ya kufungia mwaka 2014. Ambayo kamwe historia yake haitasaurika.
1. Mchakato wa katiba ulivyo enda kimagumashi mwaka 2014.
2. Kuundwa kwa umoja wa katiba ya wananchi yana UKAWA
3. Sakata la ESCROW mpaka watu wakaitwa tumbili.
4. Uchaguzi wa serikali za mitaa na jinsi CCM ilivyo lizwa maeneo mengi.
5. Hutuba ya Rais Prof. JK alipo hutubia wazee wa CCM Dar es salaam.
Ongezea na la kwako ambalo hutolisahau.

Ndege ya rais wa china kutorosha pembe za ndovu
 
Mbona tu wasahaulifu sana!

7. Operesheni Tokomeza - hii iliacha wengi wakiwa vilema na wafu.
8. Ahadi kwa Waislamu kupewa Mahakama ya Kadhi Januari 2015 - hili busara ya hali ya juu isipotawala ni bomu jingine.
9. Njama za kudunguliwa helkopta ya viongozi wa Chadema zawekwa wazi.
10. Tuhuma za ugaidi wa Lwakatare zatupiliwa mbali.
11. Chadema/CUF vyafanya Uchaguzi Mkuu kwa mujibu wa Katiba zao pamoja na matishio ya msajili.
12. Njama zaundwa kuwatimua wakazi wa Loliondo kwenye makazi yao ya asili in favor of Mwarabu.
13. Mmoja wa waliowahi kuwa viongozi wa Chadema atimuliwa.
14. Wakazi wa Dar wasota kwenye foleni masaa kadhaa kutokana na ufinyu wa miundombinu; ahadi ya flyovers yaota mbawa.
15. Marcio Maximo aliyewahi kuwa kocha Mkuu wa Taifa Stars ajiunga Yanga. Atupiwa virago miezi sita baadaye baada ya kichapo cha nani mtani jembe.
16. Mh. avunja rekodi ya kusafiri.
17. Warioba, Makamu wa Rais Mstaafu ashambuliwa na wahuni wa CCM.
18. Wasomi watia aibu: Prof. Shivji na Dr. Mwakyembe wakana maandiko yao. Prof. Tibaijuka, Prof. Muhongo wa-prove failure katika nafasi zao.
19. Tanzania yazidi kutia aibu katika medani za kimataifa: soka, madawa ya kulevya, n.k.
20. Mhubiri chuki maarufu - Ilunga Kapunga afariki dunia na kuzikwa Magomeni Dar es Salaam.
21. Mwaka 2014 wavunja rekodi kwa vifo vya wasanii; wakongwe na chipukizi.
22. Uandikisha daftari la mpiga kura wafanyika kwa majaribio - malalamiko kila kona ya maeneo husika.
23. Waziri Kiongozi akiri bila Tanganyika, Zanzibar haiwezi kusimama yenyewe.
24. IGP astaafu rasmi; ateuliwa mwingine.
25. DPP abadilishwa.
26. JK avunja rekodi kwa kugawa mikoa na wilaya.
27. TRA wabadili namba za pikipiki na bajaj kwenda MC 101 AAA kana kwamba halikuonekana mwanzoni wakati namba mpya za vyombo vya moto zilipobuniwa - poor planning.
28. Tanzania yazidi kutengwa EAC.
29. n.k.
 
Safar za kinana na nape kujenga chama kuliko miaka yote iliyo pita.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom