Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Baada ya kutafakari kwa undani leo nimeona wacha niulize hapa hapa nisikie wewe wasemaje.
Waandishi wanachanganyikiwa na kushindwa kufuatilia matukio haya hadi mwisho ama ni kitu gani hutokea baada ya tukio kugusa hisia na maisha ya Watanzania baadaye kuishia hewani tu ?
Hivi kesi hizi ziko wapi ?
1.Wizi wa pesa za na risasi kuwaka hadharani pale Ubungo ?
2.Mahalu sasa nguvu ya kutueleza maendeleo ya kesi yake inapungua ?
3.kubenea kufungiwa kwa uchochezi ni njis ys kumzima kwa kuwa ndiye pekee mzamiaji wa habari hizi bila uoga ?
4.Kesi ya Muhimbili na upasuaji iko wapi ?
5.Kesi ya majengo 2 ya Keko na Upanga ziko wapi sasa ?
6.EPA nayo itazimwa na tukio lipi lijalo ?
waandishi ni kwamba wame elemewa na habari hizi hadi wana acha kutupa ukweli wake ama ndivyo ilivyo Sirikali ya CCM kufunika matukio na Watanzania tunaenda kwa ushabiki ?
Waandishi wanachanganyikiwa na kushindwa kufuatilia matukio haya hadi mwisho ama ni kitu gani hutokea baada ya tukio kugusa hisia na maisha ya Watanzania baadaye kuishia hewani tu ?
Hivi kesi hizi ziko wapi ?
1.Wizi wa pesa za na risasi kuwaka hadharani pale Ubungo ?
2.Mahalu sasa nguvu ya kutueleza maendeleo ya kesi yake inapungua ?
3.kubenea kufungiwa kwa uchochezi ni njis ys kumzima kwa kuwa ndiye pekee mzamiaji wa habari hizi bila uoga ?
4.Kesi ya Muhimbili na upasuaji iko wapi ?
5.Kesi ya majengo 2 ya Keko na Upanga ziko wapi sasa ?
6.EPA nayo itazimwa na tukio lipi lijalo ?
waandishi ni kwamba wame elemewa na habari hizi hadi wana acha kutupa ukweli wake ama ndivyo ilivyo Sirikali ya CCM kufunika matukio na Watanzania tunaenda kwa ushabiki ?