mijanaume minmgine bwana ushoga wa huyo kaka ni kujipenda kwake au nini:disapointed:
Mbona sijaona mwanaume??au macho yangu??
Cheusibells!!
Huyu ni probably ni mwanaume, lakini ana character (haiba) na qualities zote za mwanamke.
Kuvutia na kuwa na ngozi nyororo hazimsaidii sana katika viwango vya mwanamme wa shoka.
Mbona sijaona mwanaume??au macho yangu??
Watafutwa wewe umejibanza huku kumbe!Mbona ana vimaziwa!?
Angalia begi lake.....hii ni nafaka kaka
................sina hamu na uyu mtu...nilienda party moja hv (nilialikwa na couzin wangu) jamaa bwana kumbe kanizimika...kaanza kum'bana sista ampe contacts zangu (two dayz later)...siku ya siku sista karopoka home ...........'matukio anamtaka fulani'.......niliishiwa pumzi na nguvu..nlijitetea wapi tena bora ningekaa kimya..nalaani hii tabia kwan nguvu zote..wapo vijana wengi maarufu apa mjini wanabembeleza wanaume wa kuwabashia...wanaume tumeisha!!
Huyu nimeridhika ni mwenzao kina Cheusi, angalia picha ya mwisho ameweka mfuko wake chini wakati anapozi kwa picha-mifuko ya aina hii hatubebi sisi ni wao pekee!!!
hapo kwenye red mbona unanibanbikia kesi jamani.
siwezi kujibu swali ambalo sijalielewa,ndo maana sijajibu,sijui maana ya 'kinoma' na neno shaft.
Mwacheni bana na yeye ni binadamu kama wengine. Ameamua kufuata hisia zake alimradi asiwe kero kwa wengine
kuna ushahidi gani kuwa hilo begi ni lake?
kama je ni la wifi?
au linaweza hata kuwa la mtu mwingine.
hebu toa kigezo kinachoashiria kuwa hilo ni begi lake.:disapointed: