huyu kijana kwa kweli ana ngozi nyororo saana.
Yaani ngozi yake ina weusi fulani wenye mngaro kama wa silk hivi.
Matukio mbali na kuwa mmoja wa wanaume wenye ngozi nzuri zakuvutia pia ana foundation yake yenye kutoa misaada ktk jamii.
hili sio langu boss wangu,hii ni picha tu mkuu.
lla kama unapenda kuongelea mawowo tunaweza kuongelea lako.
niko tayari kukesha boss wangu tukijadili hiyo mada.
Hahaha! sasa uwatimue wa nini si walilipa kiingilio wewe ndo ulitakiwa kuhama lol! kuna mibwabwa kwenye grosari ya nje walidai eti sigara yangu inawasumbua nikawaambia wahame basi kwakuwa tuko nje na sio ndani.yaani we acha tu..
Kuna event moja ya fashion nilienda...
Nikatafuta kiti nikae
kumbe bila kujua,kushoto kuna shoga na kulia pia...
Kulikuwa na mwanga hafifu..
Kuja kushtuka....duh..nusu niwatimue..
Sijarudi tena kwenye events za aina hii
Hahaha! sasa uwatimue wa nini si walilipa kiingilio wewe ndo ulitakiwa kuhama lol! kuna mibwabwa kwenye grosari ya nje walidai eti sigara yangu inawasumbua nikawaambia wahame basi kwakuwa tuko nje na sio ndani.
he he heee,yaani wewe cheusi umeshindikana duh:love:
Huu ndo ushenzi gani? Mwnaume asifiwi kwa ngozi nyororo. Aliyepost na yeye wote mashoga tu
huyu kijana kwa kweli ana ngozi nyororo saana.
Yaani ngozi yake ina weusi fulani wenye mngaro kama wa silk hivi.
Matukio mbali na kuwa mmoja wa wanaume wenye ngozi nzuri zakuvutia pia ana foundation yake yenye kutoa misaada ktk jamii.
Yaani miezi hata salaam ? nikituma hujibu,mi mzima nataraji nawe u mzima.kweli milima haikutani.
yaani nikielezea ninavyokumiss....
heri nimekuona sabato yangu itakwenda vizuri.
Yaani miezi hata salaam ? nikituma hujibu,mi mzima nataraji nawe u mzima.
Haya yameisha si unajua mi kwako ni bubu lol!nadhani yatakua ni matatizo ya mitandao yetu hii ya kibongo maana kila ukiniandikia nakujibu,sijui zinapotelea wapi.hivyo niwie radhi.
mim ni mzima.
ntakupigia nataka kesho nikutoe out tayarisha ile suti niliyokusifia kuwa inakupendeza nami ntavaa kile kimin ulichosema kinakufanya ushindwe kupumua.
Why kila mwanaume anayejipenda na kujijali anakuwa branded kama Shoga? maskini Matukio Chuma, sikutegemea kusoma haya niliyoyasoma hapa kuwa wewe ni shoga uliekubuhu toka UDSM. I hope unasingiziwa mdogo wangu.
Please tusimdhalilishe mwenzetu kiasi hiki.