cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
huyu kijana kwa kweli ana ngozi nyororo saana.
Yaani ngozi yake ina weusi fulani wenye mngaro kama wa silk hivi.
Matukio mbali na kuwa mmoja wa wanaume wenye ngozi nzuri zakuvutia pia ana foundation yake yenye kutoa misaada ktk jamii.