DR.RWEYENDERA
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 404
- 386
Kampen Za Mwaka Huu Zimejaa Kila Aina Ya Vituko Na Kama Mzaha Fulan Wakati Watanzania Tunatafta Maisha Bora Wao Wanafanya Mzaha, Nimeya Rank Matukio Hayo Kwa Ubora,
1. Tetesi Na Minong'ono Ya Candidate Kujichafua Kwenye Stage, Uko Geita
2. Ma Candidate Wanasomba Watu Kujaza Mikutano Kwa Wingi Kutishana Kwa Wingi Wa Watu,
3. Kuedit Hotuba Za Mwalimu Kuzitumia Kwenye Kampeni
4. Kupiga Push Up Mgombea
5. Usanii Wa Kununua Kadi Za Mpinzani Na Kugawa Kadi Kwa Watu Na Kuzikusanya Baadae Eti Wamepata Wanachama Wapya
6. Maaskofu Kutuhumiwa Rushwa,
7. Usanii Wa Kukusanya Watu Kuwashawish Wajifanye Kumshawishi Mtu Kugombea,
8. Kusambaratika Kwa NCCR Mageuzi na CUF
Ongeza Zako Chini
1. Tetesi Na Minong'ono Ya Candidate Kujichafua Kwenye Stage, Uko Geita
2. Ma Candidate Wanasomba Watu Kujaza Mikutano Kwa Wingi Kutishana Kwa Wingi Wa Watu,
3. Kuedit Hotuba Za Mwalimu Kuzitumia Kwenye Kampeni
4. Kupiga Push Up Mgombea
5. Usanii Wa Kununua Kadi Za Mpinzani Na Kugawa Kadi Kwa Watu Na Kuzikusanya Baadae Eti Wamepata Wanachama Wapya
6. Maaskofu Kutuhumiwa Rushwa,
7. Usanii Wa Kukusanya Watu Kuwashawish Wajifanye Kumshawishi Mtu Kugombea,
8. Kusambaratika Kwa NCCR Mageuzi na CUF
Ongeza Zako Chini