John Deere, kampuni yenye uzoefu wa muda mrefu katika uzalishaji wa zana za kilimo na matrekta, imeingia Tanzania na inauza matrekta madhubuti kwa thamani halisi ya fedha zako.
Ofisi zetu zipo jijini dar es salaam, maeneo ya moroco katika mtaa wa ursino pembezoni mwa barabara iendayo mwenge.
Kwa maulizo na maelezo zaidi piga simu namba: 0782 847456 au 022 2772775, e-mail: sales@csstanzania.com.
Bei zetu ni kama ifuatavyo:
Hizo bei ni kwa ajili ya matrekta mapya.
Ofisi zetu zipo jijini dar es salaam, maeneo ya moroco katika mtaa wa ursino pembezoni mwa barabara iendayo mwenge.
Kwa maulizo na maelezo zaidi piga simu namba: 0782 847456 au 022 2772775, e-mail: sales@csstanzania.com.
Bei zetu ni kama ifuatavyo:
- John Deere 5303, (2wd, 55hp), $ 17,720.00
- John Deere 5403, (2wd, 65hp), $ 19,000.00
- John Deere 5403, (4wd, 65hp), $ 22,290.00
- John Deere 5503, (2wd, 75hp), $ 22,120.00
- John Deere 5503, (4wd, 75hp), $ 25,310.00
Hizo bei ni kwa ajili ya matrekta mapya.