Matrekta mapya ya john deere

Butwas

Member
Feb 6, 2010
10
1
john-deere-7530-premium-series-tractor-2.jpg John Deere, kampuni yenye uzoefu wa muda mrefu katika uzalishaji wa zana za kilimo na matrekta, imeingia Tanzania na inauza matrekta madhubuti kwa thamani halisi ya fedha zako.
Ofisi zetu zipo jijini dar es salaam, maeneo ya moroco katika mtaa wa ursino pembezoni mwa barabara iendayo mwenge.
Kwa maulizo na maelezo zaidi piga simu namba: 0782 847456 au 022 2772775, e-mail: sales@csstanzania.com.

Bei zetu ni kama ifuatavyo:
  1. John Deere 5303, (2wd, 55hp), $ 17,720.00
  2. John Deere 5403, (2wd, 65hp), $ 19,000.00
  3. John Deere 5403, (4wd, 65hp), $ 22,290.00
  4. John Deere 5503, (2wd, 75hp), $ 22,120.00
  5. John Deere 5503, (4wd, 75hp), $ 25,310.00
Pia tunafanya matengenezo baada ya mauzo na tunatoa guarantee ya mwaka mzima na kuuza spea za trekta zinapatikana Tanzania nzima kwa wakati muafaka na sehemu husika.
Hizo bei ni kwa ajili ya matrekta mapya.
 

Attachments

  • Brochure - 5303-5403-5503.pdf
    382.9 KB · Views: 434
Wanakaribishwa sana, wamefika kwa wakati muafaka, ila wajue wakulima wa Tanzania ni maskini hawana kitu, ni vema wakaweka mikakati ya kuwakopesha matrekta haya ili kujaribu kusapoti kilimo kwanza. Kwa hizo bei unapata na vifaa gani muzee?
 
Amoeba
Tunajishughulisha na mikopo ya kilimo kupitia taasisi za fedha zenye masharti nafuu kwa ajili ya zana za kilimo na matrekta.
Karibu sana!!
 
Amoeba
Tunajishughulisha na mikopo ya kilimo kupitia taasisi za fedha zenye masharti nafuu kwa ajili ya zana za kilimo na matrekta.
Karibu sana!!

Hapo kwenye red ndy matatizo ya wakkulima yalipo!!! Kwa nini mkulima asifunge mkataba na Ninyi wenyewe? Kama upo hapa bongo utakuwa unafahamu matatizo ya benki zetu, ardhi ya mkulima yenye hatimiliki ya kimila hawaitaki kama dhamana-japo inatambulika!!!!
 
Amoeba
Haujalifanyia kazi ndio maana unasema wanzikataa, kama unayo hiyo hati ya kimila nakuomba uje na copy ya hiyo hati. nakuhakikishia utapata mkopo wa zana za kilimo.
Kiufupi kaa ukijua kuwa hati za kimila zinakubalika kwa asilimia 100%.
Karibu kama unaswali jingine!!!
John Deere
 
View attachment 14317John Deere, kampuni yenye uzoefu wa muda mrefu katika uzalishaji wa zana za kilimo na matrekta, imeingia Tanzania na inauza matrekta madhubuti kwa thamani halisi ya fedha zako.
Ofisi zetu zipo jijini dar es salaam, maeneo ya moroco katika mtaa wa ursino pembezoni mwa barabara iendayo mwenge.
Kwa maulizo na maelezo zaidi piga simu namba: 0782 847456 au 022 2772775, e-mail: sales@csstanzania.com.

Bei zetu ni kama ifuatavyo:
  1. John Deere 5303, (2wd, 55hp), $ 17,720.00
  2. John Deere 5403, (2wd, 65hp), $ 19,000.00
  3. John Deere 5403, (4wd, 65hp), $ 22,290.00
  4. John Deere 5503, (2wd, 75hp), $ 22,120.00
  5. John Deere 5503, (4wd, 75hp), $ 25,310.00
Pia tunafanya matengenezo baada ya mauzo na tunatoa guarantee ya mwaka mzima na kuuza spea za trekta zinapatikana Tanzania nzima kwa wakati muafaka na sehemu husika.
Hizo bei ni kwa ajili ya matrekta mapya.

Mkuu hizi bei ni pamoja na implements au vipi?
Niko interested sana na hizi gari!!
Mfano nikinunua the smallest(55HP) unapata vifaa gani ili uingie moja kwa moja katika kuzalisha mali?
 
Amoeba
Haujalifanyia kazi ndio maana unasema wanzikataa, kama unayo hiyo hati ya kimila nakuomba uje na copy ya hiyo hati. nakuhakikishia utapata mkopo wa zana za kilimo.
Kiufupi kaa ukijua kuwa hati za kimila zinakubalika kwa asilimia 100%.
Karibu kama unaswali jingine!!!
John Deere

Asante mkuu! Kuna mdau hapa ameuliza, hizi bei zinainclude na implements gani? Thanx
 
Hizo bei ni kwaajili ya tractors tu, ukihitaji bei ya vifaa ama zana zinazokokotwa kwa tractor piga simu namba +255 713 847456 au uliza kupitia barua pepe: sales@csstanzania.com
 
BEI YA PEMBEJEO ZA KILIMO

(1). 3 BOTTOM DISC PLOUGH FOR 50HP-65HP TRACTOR: 3,290,000/=

(2). 4 BOTTOM DISC PLOUGH FOR 75HP-85HP TRACTOR: 4,232,000/=

(3). DISC HARROW FOR 55HP-65HP (9x9): 3,578,000/=

(4). DISC HARROW FOR 65HP-75HP (10x10): 4,940,000/=

(5). ROTARY TILLER, TILLAGE WIDTH 175cm, 42BLADES FOR 50HP-60HP TRACTOR: 4,466,000/=

(6). ROTARY TILLER, TILLAGE WIDTH 200cm, 48BLADES FOR 65HP-75HP TRACTOR: 4,822,000/=

(7). TRAILER 5Tons FOR 50HP-70HP TRACTOR: 9,397,500/=

(8). TRAILER 9Tons FOR 70HP-90HP TRACTOR: 10,950,200/=

Angalizo:
Bei ya weza kubadilika wakati wowote kulingana na viwango vya dola ya marekani (Bei iliyotumika kubadilisha dola ya Marekani ni 1,500.00 ya tarehe 30.09.2010)


Mawasiliano: +255 782 847456 au sales@csstanzania.com
 
View attachment 14317John Deere, kampuni yenye uzoefu wa muda mrefu katika uzalishaji wa zana za kilimo na matrekta, imeingia Tanzania na inauza matrekta madhubuti kwa thamani halisi ya fedha zako.
Ofisi zetu zipo jijini dar es salaam, maeneo ya moroco katika mtaa wa ursino pembezoni mwa barabara iendayo mwenge.
Kwa maulizo na maelezo zaidi piga simu namba: 0782 847456 au 022 2772775, e-mail: sales@csstanzania.com.

Bei zetu ni kama ifuatavyo:
  1. John Deere 5303, (2wd, 55hp), $ 17,720.00
  2. John Deere 5403, (2wd, 65hp), $ 19,000.00
  3. John Deere 5403, (4wd, 65hp), $ 22,290.00
  4. John Deere 5503, (2wd, 75hp), $ 22,120.00
  5. John Deere 5503, (4wd, 75hp), $ 25,310.00
Pia tunafanya matengenezo baada ya mauzo na tunatoa guarantee ya mwaka mzima na kuuza spea za trekta zinapatikana Tanzania nzima kwa wakati muafaka na sehemu husika.
Hizo bei ni kwa ajili ya matrekta mapya.
kaka nimekusoma ila nina wasiwasi hapo hakuna fisadi yeyote?tusije tukawachangia hao watu kwasababu tunampango wa kuwatoa baru.
 
BEI YA PEMBEJEO ZA KILIMO

(1). 3 BOTTOM DISC PLOUGH FOR 50HP-65HP TRACTOR: 3,290,000/=

(2). 4 BOTTOM DISC PLOUGH FOR 75HP-85HP TRACTOR: 4,232,000/=

(3). DISC HARROW FOR 55HP-65HP (9x9): 3,578,000/=

(4). DISC HARROW FOR 65HP-75HP (10x10): 4,940,000/=

(5). ROTARY TILLER, TILLAGE WIDTH 175cm, 42BLADES FOR 50HP-60HP TRACTOR: 4,466,000/=

(6). ROTARY TILLER, TILLAGE WIDTH 200cm, 48BLADES FOR 65HP-75HP TRACTOR: 4,822,000/=

(7). TRAILER 5Tons FOR 50HP-70HP TRACTOR: 9,397,500/=

(8). TRAILER 9Tons FOR 70HP-90HP TRACTOR: 10,950,200/=

Angalizo:
Bei ya weza kubadilika wakati wowote kulingana na viwango vya dola ya marekani (Bei iliyotumika kubadilisha dola ya Marekani ni 1,500.00 ya tarehe 30.09.2010)[/FONT]



Mawasiliano: +255 782 847456 au sales@csstanzania.com


Mkuu, sijakusoma vizuri. Hizi zana za Kilimo mnauza kwa dola za Kimarekani au TShs?. Kwa mkulima wa kawaidia unapo peg bei kwa dola za Kimarekani wakati unafanya biashara zako Tanzania, hapo unakuwa umemchota akili kabisa.

Kwa nini dola za kimarekani kwa bisahaa ambayo unasema ipo nchini? au ndo kamtindo ketu kale ka kuagiza mzigo baada ya kupewa oda?.
 
bei mbona imekwenda hewani sana, hii issue ya kilimo kwanza imekuwa too thorny, sasa kwa mkulima alielewa na serikali yetu hii sidhani kama anaweza kuzimudu, hapo inamaana bei ya tractor ni tofauti na vifaa vyake,mweeeeeeeeeeeehh, ama kweli kilimo ndio backbone ya mtanzania,ndio hivi kweli?khaaaaaaaa
 
kama wana nia kweli ya kufanya biashara, nawashauri, wayalete ma tractor ya bei nafuu kwanza, wengi wetu at least tuweze kumudu kuyanunua, and ofcourse na nyie mtapata biashara,maana itatoka sana,nina wasiwasi na hii bei na kutoka kwake,unless kampuni imewalenga mafisadi wa kilimo
 
Ndg Butwas hizo bei ziko juu saana, na umepost kwa USD$ SI UNAJUA transections zetu hapa? Je tunaweza kulipa kwa awamu, installments?
Je mnalo duka lingine mikoani kama Arusha especialy kwa kununua spare na fittings zingine!
 
BEI YA PEMBEJEO ZA KILIMO

(1). 3 BOTTOM DISC PLOUGH FOR 50HP-65HP TRACTOR: 3,290,000/=

(2). 4 BOTTOM DISC PLOUGH FOR 75HP-85HP TRACTOR: 4,232,000/=

(3). DISC HARROW FOR 55HP-65HP (9x9): 3,578,000/=

(4). DISC HARROW FOR 65HP-75HP (10x10): 4,940,000/=

(5). ROTARY TILLER, TILLAGE WIDTH 175cm, 42BLADES FOR 50HP-60HP TRACTOR: 4,466,000/=

(6). ROTARY TILLER, TILLAGE WIDTH 200cm, 48BLADES FOR 65HP-75HP TRACTOR: 4,822,000/=

(7). TRAILER 5Tons FOR 50HP-70HP TRACTOR: 9,397,500/=

(8). TRAILER 9Tons FOR 70HP-90HP TRACTOR: 10,950,200/=

Angalizo:
Bei ya weza kubadilika wakati wowote kulingana na viwango vya dola ya marekani (Bei iliyotumika kubadilisha dola ya Marekani ni 1,500.00 ya tarehe 30.09.2010)


Mawasiliano: +255 782 847456 au sales@csstanzania.com
Kwa sasa ni Kiasi gani?
 
Back
Top Bottom