ndio kushawahi kuendesha hii biashara?.........weka picha za hilo trekta hapa
nimeletewa trecta ili niweze
kukodisha kwa wakulima hivi jamani bado biashara hii inalipa na wapi
kwa sasa yanahitajika ni Massey ferguso 375, naomba mnishauri
kitoga nitakuemail tuelekezana mzeeTuwasiliane unatoka ni uhakika.Kinachotakiwa kujua ni muongozo wa kazi.E_mail:massareth@yahoo.com