kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
Nilifika kijiji fulani huko kusini nyanda za juu,nikasikia hadithi eti kuna mzee mmoja kijijini pale analimisha watu usiku ktk mashamba yake, hii teknolojia itabidi itumike sasa, unafika pale buguruni stand ya daladala au mwenge unafanyizia mateja ili usiku yaje kulima Bagamoyo au mkuranga.Itakuwa poa kweli tehEEeee.
malila,
ha ha ha ha ha, umenifanya nicheke kwa post yako!!,... sasa hilo litaitwa "tractor chapa mtu"