matractor kutoka ulaya

Nilifika kijiji fulani huko kusini nyanda za juu,nikasikia hadithi eti kuna mzee mmoja kijijini pale analimisha watu usiku ktk mashamba yake, hii teknolojia itabidi itumike sasa, unafika pale buguruni stand ya daladala au mwenge unafanyizia mateja ili usiku yaje kulima Bagamoyo au mkuranga.Itakuwa poa kweli tehEEeee.

malila,
ha ha ha ha ha, umenifanya nicheke kwa post yako!!,... sasa hilo litaitwa "tractor chapa mtu"
 
Ndugu zangu kuna matractor yanauzwa kwa ajili ya kilimo kutoka uingereza yapo katika hali nzuri kabisa na bei poa, kama tunavyojua hakuna ushuru bandari kutoa vifaa vya kilimo kama tractors kwa ajili ya KILIMO KWANZA!. kama kuna mtu anahitaji basi tuwasiliane kupitia no.+447818716685

See pics of the tractors attached!
View attachment 17277cView attachment 17276hView attachment 17275eView attachment 17277dView attachment 17276!View attachment 17275

Asanteni!

Sawa wazee nimewasikia, mengine haya hapa kwa bei ambayo affordable kwenu kuanzia £3,000, naomba walio serious na Kilimo Kwanza na wakulima wafanyabiashara kama kuna tractor ambalo unaona litakufaa kwa kilimo nitumie email for more details. otherwise wish you all the best
Thanks!View attachment 06.docxView attachment 01.docxView attachment 04.docxView attachment 02.docx
View attachment 05.docxView attachment 03.docx

SEE ATTACHMENTS
 
Ndugu zangu watanzania, mimi naishi uiengereza, miaka 6 iliyopita natuma matctor yaa massey ferguson Tanzania, kama unataka nipigia simu, angalia attachment ya sample moja.


Tractor.jpg

Warm Regards
 
Ndugu zangu kuna matractor yanauzwa kwa ajili ya kilimo kutoka uingereza yapo katika hali nzuri kabisa na bei poa, kama tunavyojua hakuna ushuru bandari kutoa vifaa vya kilimo kama tractors kwa ajili ya KILIMO KWANZA!. kama kuna mtu anahitaji basi tuwasiliane kupitia no.+447818716685

See pics of the tractors attached!
View attachment 17277cView attachment 17276hView attachment 17275eView attachment 17277dView attachment 17276!View attachment 17275

Asanteni!

Hodiiiiiiiiiiiii,
haya ndio madhara ya kuua makampuni kama UFI, nafikiri kusupport kilimo kwanza wangefikiria kuboresha maeneo haya
 
What? Paundi 25,000? Tatizo la wafanyabiashara ndo hili, serikali inaondoa kodi kwenye matrekta ili watu waweze kumudu kununua ninyi mnataka super profit. Sasa hebu niambie katika hali ya kawaida unafuu uko wapi wa kuuziwa trekta kwa zaidi ya miloni 57 za TZ? wizi mtupu.
Hivi nikiweka benki milioni 57 riba yake si inaotosha kusukuma siku bila ya kununua hilo trekta?
Hizi ni fikira za Kimasaburi masaburi
 
Ukihitaji Matractor aina ya Massey Fergusson 590 au aina nyingine kutoka Uingereza, yenye hali nzuri na kwa bei nafuu nipigie au tuma sms kwenda 0757420211. Yapo Dar es Salaam....iwapo upo mikoani msaada wa kuyafikisha ulipo (baada ya manunuzi) unapatikana.

Wenu Mtiifu.

Phares.
 
Hapo inabidi mtu ufanye utafiti kwanza vinginevyo utaumia, MF6480 au 7000 series yana bei kubwa sana kwa mkulima wa kitanzania halafu technologia zake ni za kisasa zaidi inabidi upate dereva wa uhakika kuweza kuitumia ipasavyo, MF500 series ni ya zamani wala hayatengenezwi tena, likikualibikia tabu kupata spare parts. Nadhani ni bora kama unataka kununua uwasiliane kwanza na wataalam wa kilimo nchini ili upate maoni yao.
 
Hapo inabidi mtu ufanye utafiti kwanza vinginevyo utaumia, MF6480 au 7000 series yana bei kubwa sana kwa mkulima wa kitanzania halafu technologia zake ni za kisasa zaidi inabidi upate dereva wa uhakika kuweza kuitumia ipasavyo, MF500 series ni ya zamani wala hayatengenezwi tena, likikualibikia tabu kupata spare parts. Nadhani ni bora kama unataka kununua uwasiliane kwanza na wataalam wa kilimo nchini ili upate maoni yao.

Mkuu,

Mbona una andika usilolijua. MF500 Series ni ngumu kupata spear parts zake hapa Tanzania...kweli una uhakika na unalo andika humu??!!

MF500 na mojawapo ya matrekta maarufu sana africa mashariki...spear ni nyingi kiasi kwamba hata ukitaka used unapata.
 
nimeangalia bei za hizo tractor na kujaribu kufanya comparison na south africa naona hizo bei ziko juu ningeshauri watu watembele south africa maana wako juu katika kilimo na vifaa vya klimo used ni bei rahisi kwa mfano tractor ya haina hiyo massey ferguson 5355 yenye 69 kw ni rand laki moja na usafir hautazidi dola elfu mbili mpaka bongo
 
Sawa wazee nimewasikia, mengine haya hapa kwa bei ambayo affordable kwenu kuanzia £3,000, naomba walio serious na Kilimo Kwanza na wakulima wafanyabiashara kama kuna tractor ambalo unaona litakufaa kwa kilimo nitumie email for more details. otherwise wish you all the best
Thanks!View attachment 17396View attachment 17397View attachment 17398View attachment 17399
View attachment 17400View attachment 17401

SEE ATTACHMENTS

We mpigaji bana yani umeanza na pound 25,000 ukidai ndio bei poa hadi pound 3,000?hapo ndio nn kuwa ni discount au ni bei ya sale?
 
We mpigaji bana yani umeanza na pound 25,000 ukidai ndio bei poa hadi pound 3,000?hapo ndio nn kuwa ni discount au ni bei ya sale?

Kwa kuwa umeshazoea kupigwa basi unawaza kupigwa tu!, matractor ya awali ni mapya na ya pili ni used.......
 
Hivi na yale ma execavators na vijiko nayo hayalipiwi ushuru? kama hili hapa chini
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    8.2 KB · Views: 50
Back
Top Bottom