Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,989
- Thread starter
- #21
Story ya kutunga hii!
Tangu mwaka 2012, wachangiaji hawajafika 20.
Hata kifo cha Kanumba hakikufikia bajeti hiyo.
Labda ka unazungumzia kifo cha Nyerere.
Too low for you, kwa akili yako ndogo unadhani kila mtu anaexpose maisha yake halisi hapa mtandaoni? Nini mantiki ya kutumia fake ID?