VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Matokeo ya kidato cha sita yako hewani. Yanaonyesha ufaulu kuporomoka. Zero zimepiga hodi hadi Mzumbe na Malangali,kutaja chache. Wengi wamepata daraja la tatu. Hawa wanaelekea wapi? Ikumbukwe kuwa darasa hili ndilo lenye wahitimu wa Shule za Kata. Hao wamechangia anguko hili? Serikali itasema:ufaulu umepanda...