Matokeo ya Wizara ya Afya

mKuu hauna tetesi wanahtaji wangapi na wameapply wangapi?

Sina tetesi kama hizo ila tu tetesi iliyopo ni kuwa sababu ya kuchelewa kutoa ni kundi kubwa la waloappy walikuwa hawana sifa na vigezo vya course na wale wote watakaochaguliwa ada itakuwa 700,000/=
 
Sina tetesi kama hizo ila tu tetesi iliyopo ni kuwa sababu ya kuchelewa kutoa ni kundi kubwa la waloappy walikuwa hawana sifa na vigezo vya course na wale wote watakaochaguliwa ada itakuwa 700,000/=

dah!ebwana mungu nisaidie nina ful pcb.
 
Duh!!,mhmmmm kweli inakatisha tamaa kweli kweli ila ata wayacheleweshe vp jibu lita baki palepale 2,kwa neema na mapenzi ya mungu 2takuwemo kwnye orodha ya watakao kwenda.
 
Wamemaliza kufanya selection last week Dodoma pale Mirembe, kwahiyo yatakuwa mbioni kutoka otherwise nenda idara ya mafunzo pale wizarani for more updates.
 
Lakini mbona cku zimeenda sana.what c going on in awa ministry .the applicants r gettng ill just bcoz of emmotional interfearances.we beg 4 them
 
Back
Top Bottom