Matokeo ya waliochaguliwa vyuo TCU

KAKA ULE MSEMO MVUMILIVU HULA MBIVU CK HZ NI TOFAUTI KABISA.BAKIDAR WANADAI KUUREKEBISHA KIDOGO NA KUWA "MVUMILIVU HULA MBOVU(yaan zimeiva had kuoza).Hv itakuwaje tcu wakaribishe 2[SUP]nd[/SUP] application kabla ya 1[SUP]st[/SUP] selection? Others will will say am crazy but this is meaningful:TANZANIA INAHITAJI MADICTATOR KAMA AKINA HITLER NA BENITO MUSOLIN.Bro keep waiting bana ucfe moyo chuo utaenda.
Wewe Dickson Tumsiime, hiyo font color gani unayotumia hapa !?
 
Thanx kwa taarifa, itanibidi nipige dili lingine la tempo maana hili linaisha mkataba hivi karibuni. Duh!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
wametangaza majibu tayari ila watatoa majina sept. Pamoja na asilimia za mkopo.
<br />
<br />
 
washatufanya magunia ya mazoezi mbona kwenye page yao hamna new feed...kikawaida hawa kuwa wajibisha tume yote yabaki majengo na mafail
 
Naskia wamechaguliwa wanafunz elfu 4 tu,so jipimeni nyie ka mtakuwepo.
 
Back
Top Bottom