Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Mwenyekiti wa nec jaji makame aliwaambia waangalizi wa kimataifa kuwa matokeo ya urais ni hadi nov 3. Haya mazingira yatakuwa salama? Scm si wanaweza chakachua sana hawa? Ila matokeo ya ubunge na udiwani yanaweza kuwaumbua