valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 868
gud news!
Mi pia nawajua wagogo na mi pia no mgogo ila hao sasa waishio dom hawaambiliki juu ya CCM panatakuwa nguvu ya ziada pale
safi sana ila kuna mtu kanijulisha kuwa chadema tumepoteza huko Engototo..
Mwendo mdundo kitaeleweka tuWakuu...wakati tukisubiri dakika tu ili CHADEMA itangazwe rasmi kama washindi wa ubunge IGUNGA tayari mgombea wa udiwani wa chadema kata ya masekelo manispaa ya shinyanga bw.MFUKO ametangazwa mshindi wa kata hiyo iliyoachwa wazi na marehemu shelembi magadula kwa kujinyakulia kura 1501 dhidi ya 587 za mgombea wa CCm bi rashida rajamu..
Kwa matokeo hayo ya zaidi ya 72% chadema imefanikiwa kutetea kiti chake kwa ushindi wa kimbunga..
Kazi kwenu magamba..
Nawasilisha
Halafu eti mtu baadaye anataka hawa watu waichague CDM wakati tunawaona wajinga na ombaomba. hizi siasa za kijinga zitaiua CHADEMA. mimi mwenyewe ni mgogo jee ni OMBAOMBA?huu ungese wako ndo unawafanya wa2 waifhkilie vibaya Cdm
Kata ya Mjimwema (Njombe mjini), Gangilonga na Kitanzini (Iringa Mjini) CCM wameshinda
Sio kama unavyodhani mkuu. Waliopiga kura ni wale waliojiandikisha mwaka 2005. Dodoma imebadilika sana, vijana wamekua na mawazo mapya, maelfu ya watu wanahamia Dodoma kila kukicha, na uwepo wa UDOM unaifanya DDM kuwa tofauti na Dodoma ya zamani. Nakuhakikishia, daftari la wapiga kura likiboreshwa, hakuna uchaguzi CCM watashinda Dodoma mjini...
CCM sasa imeshikwa korodani na wananchi.