Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Ndugu zangu nimekuwa nikifuatilia matokeo ya uchaguzi mwaka huu kwa ngazi zote tatu za urais, ubunge na udiwani. Kwa kweli matokeo yanatia moyo na kuamsha ari ya mabadiliko zaidi. Hii ni salamu tosha kwa chama kilichokubali kuongozwa na "waswahili" wenye kiburi na dharau kubwa, wanaokumbatia mafisadi. Na hizi ni rasharasha tu. Mvua yenyewe itanyesha mwaka 2015 Mungu akitujalia uzima.