Elections 2010 Matokeo ya Uchaguzi Mkoa wa Morogoro

Zubeda, endelea kutokuamini. Hii ndiyo tabu ya kuzoea uongo manake kila unachoambiwa unadhani uwongo. Kumbuka hivi sasa ni saa 11:30. Kaulizie kituo kinachoitwa St. Francis. Najua sio muda wake kuanza kusambaza habari hizi, hata hivyo nyingine nitabaki nazo kwenye kikasha cha kupokelea mpaka baadae nisije nikaleta vurugu kama unavyosema. Pole. Ila jua tuko kazini, tunakusanya matokeo.
 
Naongeza: ...akainamisha kichwa na kuanza kusema,naomba kikombe iki boss wangu asikinywee! Makame akasema,yametimia! Natusome yaliyo mbele yetu,yaliyoandikwa yameandikwa...akaanguka ...(mara ya kwanza!)
 
inabidi utaratibu uwekwe ili kila matokeo yanayokuja yawekwe sehemu moja na iwe raisi kupata total

Ingekuwa vizuri. Ila kuna watu wanaamini kila kinachosemwa ni uchakachuaji. Na ni vyema kila anayeleta aje na matokeo ya kweli.
 
Moro mjini ni issue wapinzani kushinda

Njowepo unamaanisha kushinda nini, wa Morogoro wanaweza kumpa mbunge wao kura lakini sio rais wa chama kimoja na mbunge, HAYO MATOKEO NI YA RAISI NA SIO MBUNGE
 
Mbona tuliambiwa vituo vitakuwa na watu karibu 500? Au ndio wengi wamegoma kwenda kupiga kura?
 
Still early hours but I can begin to see that Chadema is the most likely new party on power.....................
 
Mbeya na mwanza na shyng vipi jamani matokeo ya awali??
 
muongo wewe!! Kura bado hazijaanza kuhesabiwa unaanza uchimvi na kutaka kuleta vurugu!! Matoke ni mpaka kura zihesabiwe!!!
VERY SORRY MY BROTHER Na hata Tabata ni kind of similar wametangaza kwenye radio kama dakika tano zilizopita mkuu...:rip:
 
ndugu zanguni wakati tunaendelea kusomewa hukumu ya mafisadi naomba tuwe mdogomdogo mpaka hakimu agonge nyundo. bila shaka safari hii ccm inagalagala. wow!
 
"...Kaka kituoni kwangu CCM 43, CHADEMA 65, CUF 3, APPt 1, zimeharibika 2..." Kwa njia ya SMS.

Hii inaonesha CCM wanakumbwa na gharika kama siyo tsunami. Watakimbilia wapi ikiwa matokeo ndo yapo hivi sehemu waliyodai kuwa ni ngome yao?
 
Back
Top Bottom