Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Mkurugenzi wa _Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Rajabu Kiravu, alisema inawezekana majina ya waliokufa yakawa bado yapo kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kwa sababu limeboreshwa.
Alisema ni kosa lake kwa sababu alipoteza kitambulisho kwa hiyo wakati anakwenda kujiandikisha kwa mara ya pili akakosea jina kwa hiyo `system` ikajua ni mtu mwingine tofauti.
``Huyo mwenyekiti wa CCM alipoteza kadi yake ya kupigia kura ambayo ilikuwa na jina la Willim Sisala Simwali, alipokwenda kujiandikisha ili apewe kadi nyingine akaandika jina la William Sisala Simwali kwa hiyo alikosea herufi,`` alisema Kiravu.
__________________________
Nina wasiwasi na Kiravu hivi anaelewa maana ya kuboreshwa ? Watu 388 walikwisha kufa ,sasa kama kuboresha watu hao ilikuwa wasiwemo,hapa pana wizi wa kushirikiana na huyu Kirova.
Alisema ni kosa lake kwa sababu alipoteza kitambulisho kwa hiyo wakati anakwenda kujiandikisha kwa mara ya pili akakosea jina kwa hiyo `system` ikajua ni mtu mwingine tofauti.
``Huyo mwenyekiti wa CCM alipoteza kadi yake ya kupigia kura ambayo ilikuwa na jina la Willim Sisala Simwali, alipokwenda kujiandikisha ili apewe kadi nyingine akaandika jina la William Sisala Simwali kwa hiyo alikosea herufi,`` alisema Kiravu.
__________________________
Nina wasiwasi na Kiravu hivi anaelewa maana ya kuboreshwa ? Watu 388 walikwisha kufa ,sasa kama kuboresha watu hao ilikuwa wasiwemo,hapa pana wizi wa kushirikiana na huyu Kirova.