wadau matokeo iringa mjini kata zote yameshatangazwa: Ccm wameshinda kata 2 na chadema wameshinda kata 14. Jimbo lina kata 16. Source: Star TV
Mjengwa asupali. Ahere kwi? khe khe kheeeeeeeeeee
CHADEMA tumeshapata halmashauri tatu mpaka sasa. Musoma mjini, Moshi mjini na Iringa mjini. tunasubiri matokeo mengine