Elections 2010 Matokeo ya uchaguzi kuwakilishwa NEC kwa internet

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,348
6,472
UNDP wametoa msaada wa kuwakilisha matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa internet; ndio maana MwanaHalisi 5/10/2010 wamebaini mbinu ya CCM ya kupeleka wataalamu wa IT NEC. Naomba kujua ni namna gani haya matokeo yatapelekwa NEC hasa ya Urais? Pia wabunge na madiwani?

Nilisoma kwenye moja ya magazeti ya Mtanzania kuwa yataenda NEC mara baada ya kuhesabiwa na kuwa posted kwenye mtandao, je ni mtandao upi?

Naomba NEC watuambie ni software package gani wanatumia kwenye ku-compile hayo matokeo hasa ya Urais? je, ni licensed au locally made? Je, ni open source? Kama ni locally made au open source basi source code yake inaweza kufikiwa na hao wataalamu wa IT basi haifai, kwani chakachua ni rahisi sana hapo!

Kama ni licensed na source code yake haitakiwi kufikiwa na client basi hiyo ni bomba sana. Kama posting ikifanyika, say, Kigoma; moja kwa moja data zinang'aa kwenye website na pia kuingia kwenye database usalama wa kura ni wa kutosha yaani chakachua ni ngumu kwa sababu posted data lazima ziandikiwe code ya kutokuwa na function yoyote kama delete, edit, update na kadharika.

Chakachua inaweza kufanywa kwa kubadilisha ripoti za hiyo database baada ya kuzi-print. Ninamuomba Jaji Lewis atangaze matokeo baada ya ku-produce hiyo ripoti kwenye screen na sio printed hili wote tuone kama ilivyo, si ndio uwazi wenyewe huo!

NEC tunaomba mrudishe links za voting na counting votes kwenye tovuti yenu.

Wanaohesabu kura wanaajiriwa na wakurugenzi wa manispaa kwa niaba ya NEC, kinondoni nafasi hzio zilitangazwa, je kwengine wamepatikana vipi? Au ndio hao wa Mkandara? Vyama pinzani ombeni demonstation ya namna matokeo yanavyotumwa kwa internet na display yake kwenye kompyuta kabla ya zoezi lenyewe. Trial hii ioneshwe kwenye luninga basi! NEC wakikataa basi, chakachua itafanyika.

Na katika mafunzo mafupi ya mawakala, suala hili la internet lioneshwe vizuri, maanake wasije kutumia illiteracy ya kompyuta kutuibia au kuwa babaisha mawakala wa vyama pinzani. Kwenye lile tangazo la kazi la kusimamia uchaguzi hakukuwa na sifa ya kujua kompyuta na internet sasa sijui itakuwaje jamani!
 
UNDP wapo sahii kama tu NEC haitatumia mbinu zao chafu kuchakachua matokeo
 
Walim wa tanzania ndo haswaa hao wahesabuji a.k.a. wasimamizi wa vituo. Je wanajua ABC za network?
Kama UNDP hawatosimamia vizuri utekelezaji wa hii project kuna wasiwasi kutokea mtafaruku.
 
NEC watupe majibu kwa maswali haya ya kimsingi wasikae kimya hata kidogo:-

Naomba NEC watuambie ni software package gani wanatumia kwenye ku-compile hayo matokeo hasa ya Urais? je, ni licensed au locally made? Je, ni open source? Kama ni locally made au open source basi source code yake inaweza kufikiwa na hao wataalamu wa IT basi haifai, kwani chakachua ni rahisi sana hapo!

Kama ni licensed na source code yake haitakiwi kufikiwa na client basi hiyo ni bomba sana. Kama posting ikifanyika, say, Kigoma; moja kwa moja data zinang'aa kwenye website na pia kuingia kwenye database usalama wa kura ni wa kutosha yaani chakachua ni ngumu kwa sababu posted data lazima ziandikiwe code ya kutokuwa na function yoyote kama delete, edit, update na kadharika.

Chakachua inaweza kufanywa kwa kubadilisha ripoti za hiyo database baada ya kuzi-print. Ninamuomba Jaji Lewis atangaze matokeo baada ya ku-produce hiyo ripoti kwenye screen na sio printed hili wote tuone kama ilivyo, si ndio uwazi wenyewe huo!

NEC tunaomba mrudishe links za voting na counting votes kwenye tovuti yenu.

Wanaohesabu kura wanaajiriwa na wakurugenzi wa manispaa kwa niaba ya NEC, kinondoni nafasi hzio zilitangazwa, je kwengine wamepatikana vipi? Au ndio hao wa Mkandara? Vyama pinzani ombeni demonstation ya namna matokeo yanavyotumwa kwa internet na display yake kwenye kompyuta kabla ya zoezi lenyewe. Trial hii ioneshwe kwenye luninga basi! NEC wakikataa basi, chakachua itafanyika.
 
Tunahitaji Demostration kabla ya uchaguzi, ili vyama vyote viridhike na hiyo software
 
Kwanini sasa..wangeitumia njia hii haswa katika chaguzi ndogo zilizopita..
Hapa kuna dalili mbaya..
 
Wangetuma kwa njia ya SCANNING kama ilivyo Super Markets ili kama kuna lalamiko source document ya kutoka kituo cha kura ionekana kabisa
 
Habari hii ni muhimu kwa wapenda maendeleo wengi, tupe mwanga kidogo Gazeti la Mtanzania la lini?
 
NEC ni MI CCM tu Hakuna lolote ni wiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tu
 
vyama vya siasa vipinge utaratibu huu kama haufai au viombe ufafanuzi zaidi kuhusu usalama wake.watu wa IT naomba mtusaidie
 
Walim wa tanzania ndo haswaa hao wahesabuji a.k.a. wasimamizi wa vituo.

Waalimu wameachwa, wanachukua vijana wadogo waliomaliza shule, tena lazima watoke/wamejiandikisha kwenye kata hiyo hiyo watakayo simamamia. Waalimu labda wameonekana siyo rahisi kutishwa.

Je transparency haiwezi haiwezi kuwa pre condition ya UNDP?

Miraji & Co wamewahi kazi nini? Je network ya NEC itakuwa interrupted na hawa? Hii ifanyiwe kazi
 
Mwanahalisi ya jana ilituonya dhidi ya wataalamu wa IT wanaolipwa milioni 46 kwa siku wakijiandaa na uchakachuaji, usikute ndo hao wamelamba kazi. Jamani tutaibiwa mchana kweupe kama akina mMiraji ndo washika dau !
 
UNDP wametoa msaada wa kuwakilisha matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa internet; ndio maana MwanaHalisi 5/10/2010 wamebaini mbinu ya CCM ya kupeleka wataalamu wa IT NEC. Naomba kujua ni namna gani haya matokeo yatapelekwa NEC hasa ya Urais? Pia wabunge na madiwani?

Nilisoma kwenye moja ya magazeti ya Mtanzania kuwa yataenda NEC mara baada ya kuhesabiwa na kuwa posted kwenye mtandao, je ni mtandao upi?

Naomba NEC watuambie ni software package gani wanatumia kwenye ku-compile hayo matokeo hasa ya Urais? je, ni licensed au locally made? Je, ni open source? Kama ni locally made au open source basi source code yake inaweza kufikiwa na hao wataalamu wa IT basi haifai, kwani chakachua ni rahisi sana hapo!

Kama ni licensed na source code yake haitakiwi kufikiwa na client basi hiyo ni bomba sana. Kama posting ikifanyika, say, Kigoma; moja kwa moja data zinang'aa kwenye website na pia kuingia kwenye database usalama wa kura ni wa kutosha yaani chakachua ni ngumu kwa sababu posted data lazima ziandikiwe code ya kutokuwa na function yoyote kama delete, edit, update na kadharika.

Chakachua inaweza kufanywa kwa kubadilisha ripoti za hiyo database baada ya kuzi-print. Ninamuomba Jaji Lewis atangaze matokeo baada ya ku-produce hiyo ripoti kwenye screen na sio printed hili wote tuone kama ilivyo, si ndio uwazi wenyewe huo!

NEC tunaomba mrudishe links za voting na counting votes kwenye tovuti yenu.

Wanaohesabu kura wanaajiriwa na wakurugenzi wa manispaa kwa niaba ya NEC, kinondoni nafasi hzio zilitangazwa, je kwengine wamepatikana vipi? Au ndio hao wa Mkandara? Vyama pinzani ombeni demonstation ya namna matokeo yanavyotumwa kwa internet na display yake kwenye kompyuta kabla ya zoezi lenyewe. Trial hii ioneshwe kwenye luninga basi! NEC wakikataa basi, chakachua itafanyika.

Na katika mafunzo mafupi ya mawakala, suala hili la internet lioneshwe vizuri, maanake wasije kutumia illiteracy ya kompyuta kutuibia au kuwa babaisha mawakala wa vyama pinzani. Kwenye lile tangazo la kazi la kusimamia uchaguzi hakukuwa na sifa ya kujua kompyuta na internet sasa sijui itakuwaje jamani!

Sasa software gani inatakiwa ku-compile matokeo ya uchaguzi? Software gani inayotumiwa kutuma matokeo ya uchaguzi kupitia Internet? Duh huyo anayejifanya anajua mambo ya software na hata kushauri matokeo yatangazwe kwa kusoma kwenye "screen" badala ya ku-print matokeo anaonyesha jamaa linasoma IT lakini linatumia muda mwingi kukariri badala ya kuelewa how things work! Kaanze na kitabu cha introduction to computers uanze na "input" na "output" devices. Duh kazi kweri kweri! :A S 13:
 
Back
Top Bottom