Elections 2010 Matokeo ya mwisho: JK aambulia 61.17%

Dk Jakaya Mrisho Kikwete ametangazwa kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuibuka na jumla ya kura 5,276,827 sawa na asilimia 61.17 ya kura zote zilizopigwa. Dk. Willibrod Slaa wa CHADEMA ametangazwa mshindi wa pili kwa kupata kura 2,276,827 sawa na asilimia 26.3 na Profesa Ibrahim Haruna Lipumba wa CUF amekuwa mshindi wa tatu kwa kura 695,667 sawa na asilmia 8.06.
 
kweli kuna watu kama jk mishipa yao ya aibu ilishakatika kitambooo,,,,ss simpatii picha safari zake za njeya nchi akienda uko for e.g kwa presedaa aliyepewa uraisi kihalali kama obama then anaulizwa enhe vipi za uchaguzi...mbona nasikia kulikua namalalamiko..ivi anajibu niniii jamani?na kile kigugumiza chake sijui atajib pumba gani
 
ubashiri mwachieni sheikh jamani ndio fani yake

Sheikh Yahya alisema uchaguzi hakuna, inawezekana kweli ukarudiwa baada ya wateule kuaga dunia au kupingwa mahakamani. Tusishangae majimbo yote walioshinda CCM, wapinzani wakaenda mahakamani
 
kweli kuna watu kama jk mishipa yao ya aibu ilishakatika kitambooo,,,,ss simpatii picha safari zake za njeya nchi akienda uko for e.g kwa presedaa aliyepewa uraisi kihalali kama obama then anaulizwa enhe vipi za uchaguzi...mbona nasikia kulikua namalalamiko..ivi anajibu niniii jamani?na kile kigugumiza chake sijui atajib pumba gani
Hiv unamchezea mkwere! Anajua hilo ni swali atakalo ulizwa na jamii nyingi za kimataifa hivyo tayari kinana jinias wake atakuwa amemwandikia kahotuba kakujidifend huyu ndo mkwere halisi...
 
Back
Top Bottom