PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Achana na kilaza asiyeelewa kauli zake mwenyewe...Ukimuuliza sasa hivi juu ya hiyo kauli atakwambia ulimnukuu vibaya!yuko wapi Makamba na 85% yake.
Kama ccm watataka warudishe chembe ya heshima yao, basi wamfute kazi kibabu huyu!