Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba

Kwani wanafaulu au wanachaguliwa tu? maana wapo wengine hawajui hata kusoma wala kuandika
 
Matokeo ya mitihani wa darasa la saba yametoka na Mkoa wa Dar es Salaam umeongoza kwa kufaulisha ukifuatiwa na jiji la kitalii, mkoa wa Arusha. Cha kushangaza ni kwamba idadi kubwa ya waliofaulu hawatapata nafasi ya kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza. Je hilo ni tatizo la nani? Na kama wengi hawatapata nafasi ya kuendelea na masom kuna maana gani ya kufaulu?

Hebu fafanua vizuri walifaulu walifauluje halafua wasiendelee?hapo kuna kitu.
 
Kwani wanafaulu au wanachaguliwa tu? maana wapo wengine hawajui hata kusoma wala kuandika

utachaguliwa vipi bila kufaulu mzee?
mi nafikiri unafaulu, then unachaguliwa shule flani kulingana na ufaulu wako................
 
Matokeo ya mitihani wa darasa la saba yametoka na Mkoa wa Dar es Salaam umeongoza kwa kufaulisha ukifuatiwa na jiji la kitalii, mkoa wa Arusha. Cha kushangaza ni kwamba idadi kubwa ya waliofaulu hawatapata nafasi ya kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza. Je hilo ni tatizo la nani? Na kama wengi hawatapata nafasi ya kuendelea na masom kuna maana gani ya kufaulu?

Kufikiria kuwa kunakufaulu kwa ushenzi wa baraza la mitihani ni upuuzi wa hali ya juu. wewe hapa umeposit pumba tu. mitihani kuchagua alafu chini ya kiwango! Mungu ibariki Tanzania.
 
Back
Top Bottom