Ritchie paschal
New Member
- Aug 7, 2011
- 2
- 1
Kufaulu kwa hali ya juu ilikuwa ni lazima,mtu amepewa mtihani wa hesabu wa kuchagua!Hizi si siasa ndani ya elimu?
Matokeo ya mitihani wa darasa la saba yametoka na Mkoa wa Dar es Salaam umeongoza kwa kufaulisha ukifuatiwa na jiji la kitalii, mkoa wa Arusha. Cha kushangaza ni kwamba idadi kubwa ya waliofaulu hawatapata nafasi ya kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza. Je hilo ni tatizo la nani? Na kama wengi hawatapata nafasi ya kuendelea na masom kuna maana gani ya kufaulu?
Asilimia tisini ya wanaosoma pale mlimani chuo cha ukweli hapa tz wanatoka vijijini
Kwani wanafaulu au wanachaguliwa tu? maana wapo wengine hawajui hata kusoma wala kuandika
Kufaulu kwa hali ya juu ilikuwa ni lazima,mtu amepewa mtihani wa hesabu wa kuchagua!Hizi si siasa ndani ya elimu?
Matokeo ya mitihani wa darasa la saba yametoka na Mkoa wa Dar es Salaam umeongoza kwa kufaulisha ukifuatiwa na jiji la kitalii, mkoa wa Arusha. Cha kushangaza ni kwamba idadi kubwa ya waliofaulu hawatapata nafasi ya kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza. Je hilo ni tatizo la nani? Na kama wengi hawatapata nafasi ya kuendelea na masom kuna maana gani ya kufaulu?
na kujipangia mishahara mikubwa na malupulupu kibao bungeni