walau kidoogo ungesema majimbo mkuu....kata!!!???Kuna habri nimezipata sasa hivi kuwa watu wa monduli
CCM wanaongoza kwa baadhi ya kata wakifuatiwa na chadema
Kweli mwaka huu naamini CCM watashinda kwa 80%+
Nitaendelea kuwajuza
Kuna habri nimezipata sasa hivi kuwa watu wa monduli
CCM wanaongoza kwa baadhi ya kata wakifuatiwa na chadema. Kweli mwaka huu naamini CCM watashinda kwa 80+........
ndio umeamka eeeh
Kwenye vita kuna kushinda makabiliano yenyewe (main battle) halafu unapitia kuondoa masalia ysa adui (mopping up). Hao akina EL na RA watamalizwa katika mop up.Ni kweli Fisadi Lowassa kashinda hata Ingunga Fisadi Rostam ameshinda ni habari mbaya hakuna namna!
Kuna habri nimezipata sasa hivi kuwa watu wa monduli
CCM wanaongoza kwa baadhi ya kata wakifuatiwa na chadema
Kweli mwaka huu naamini CCM watashinda kwa 80%+
Nitaendelea kuwajuza