Ndugu zangu wasomi.....
Huu ni waraka wangu kwenu kuwatakia subira manake wiki sasa inakaribia kukatika bila
y kujua muamala wetu km tumepata mkopo au lah...!!!! Bodi y mikopo inapaswa kutambua ni
jinsi gan wananchi tulivyokuwa na presha y kutaka kujua mbichi na mbivu...!!!! na hapa
dunian hakuna kitu kigumu km kusubir matokeo au majib y kitu chochote kile.......Hivyo Bodi
y Mikopo inapaswa kujipanga ili kuondoa lawama na chuki kutoka kwa wanafunzi......a.k.a
Wasomi wa Nchi hii.........
Yangu ni hayo 2 wajamen.....
Mwanazuon, Udom
Huu ni waraka wangu kwenu kuwatakia subira manake wiki sasa inakaribia kukatika bila
y kujua muamala wetu km tumepata mkopo au lah...!!!! Bodi y mikopo inapaswa kutambua ni
jinsi gan wananchi tulivyokuwa na presha y kutaka kujua mbichi na mbivu...!!!! na hapa
dunian hakuna kitu kigumu km kusubir matokeo au majib y kitu chochote kile.......Hivyo Bodi
y Mikopo inapaswa kujipanga ili kuondoa lawama na chuki kutoka kwa wanafunzi......a.k.a
Wasomi wa Nchi hii.........
Yangu ni hayo 2 wajamen.....
Mwanazuon, Udom