MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Karume amekua raisi tokea mwaka 2000. Aka pata nafasi ya kuongoza kipindi cha pili mwaka 2005. Sasa ana kuja kumtambua leo wakati kabakiza chini ya mwaka katika uraisi wake? Na hata asinpo utambua uraisi wake je inge badilisha chochote? There must be something deeper involved here.