Matokeo ya lulu kidato cha nne haya hapa

ama kweli Hesabu ugonjwa wa taifa......mfano Lulu alianza la kwanza mwaka 2001 mpaka 2006 (na si 2007) atakuwa amehitimu la saba na 2007 mpaka 2010 (na si 2011) form four utata uko wapi hapo...na ikumbukwe si kila anaeanza la kwanza lazima asome miaka saba au nimeshuudia watoto wakirukishwa darasa mfano badala asome la kwanza anaanzia la pili au badala asome la pili anaenda la tatu hivyo hivyo badala ya kidato cha cha kwanza anaingia kidado cha pili....
2001 january?.... hivyo alianza na miaka 5 na nusu.Kama la kwanza alianza 2001 atamaliza 2007, angeanza 2000 ndo angemaliza 2006.Halafu kutokana na matokeo yake ya form four, naweza kuconclude kuwa si kipanga kwa hiyo hawezi kurushwa darsa. Kubali tu blaza! analika huyo!!
Ulikuwa umejiona smati eee?
 
ama kweli Hesabu ugonjwa wa taifa......mfano Lulu alianza la kwanza mwaka 2001 mpaka 2006 (na si 2007) atakuwa amehitimu la saba na 2007 mpaka 2010 (na si 2011) form four utata uko wapi hapo...na ikumbukwe si kila anaeanza la kwanza lazima asome miaka saba au nimeshuudia watoto wakirukishwa darasa mfano badala asome la kwanza anaanzia la pili au badala asome la pili anaenda la tatu hivyo hivyo badala ya kidato cha cha kwanza anaingia kidado cha pili....

hao wanarukishwa darasa hawana ufaulu kama huu! Au taja sababu za kurukishwa!
 
We bana LUKINDO; hebu usitake kuleta ubishi usio na maana, kwani wadhani kupata hizo "A" saba ndio kuwin maisha au ndo kuyamudu majukumu; kwani ni wangapi tumewaona wanaingia form 5 na "A" zao za kutosha mwisho wa siku paper ya form six wananchemka?
Na wangapi wanarudia mitihani ya form 4 au wanajiendeleza form 5 kwa crdt zao 3 na wanafanya vyema form six hata muendelezo wao bado unakua mzuri?
Nadhani unasahau kama ktk namna za usomaji kuna watu husomea mitihani tu"
 
Ni ngumu kutumikia mabwana wawili! Pengine alizidisha sana mambo ya sanaa,akalegeza msuli wa NECTA ndo maana ikamtenda.Lakini huyu kashafanikiwa kwenye maisha. Pole sana lulu.
 
Tusitafute sana udhaifu wa lulu kupitia elimu yake. pamija na mapungufu hayo angeweza kuwa maarufu kuliko hata maprofesa na akwa tajiri hata kumkaribia Mengi. tatizo lililomtokeda ni accident kwake. Kushindwa shule si kushindwa maisha. Tumsamehe LULU yaliyompata yanaweza kuwa funzo kwake akjageuka mtu bora sana
 
Dah! umaarufu noma kuna wengine wanachangia hapa lakini dada zao wana zero.
 
Tuletee na ya cha ujuaji Kind Shovel or Wema Sepetu basi. Maana ukiwaona wanavyochanganya kiswangilishi huwezi kudhani ni vihiyo watupu. Hicho kitoto na kufeli hivyo kwanini kisirudi shule lau kiambulie hata elimu kiduchu. Kuuza sura hailipi hasa tukizingatia kuna uzee baadaye.
 
Tuletee na ya cha ujuaji Kind Shovel or Wema Sepetu basi. Maana ukiwaona wanavyochanganya kiswangilishi huwezi kudhani ni vihiyo watupu. Hicho kitoto na kufeli hivyo kwanini kisirudi shule lau kiambulie hata elimu kiduchu. Kuuza sura hailipi hasa tukizingatia kuna uzee baadaye.

wema ye alikua kipanga,alipata four ya 31,hyo ilikua ni necta ya 2006.
 
national examinations council of tanzania

csee 2011 examination results​


national examinations council of tanzania

csee 2011 examination results​



s3548 midway secondary school div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 0 div-iv = 10 fld = 8



cno

sex​

candidate name​

aggt​

div​

detailed subjects​

s3548/0001​

f​
anasa bakari kasule

32​

iv​

civ-d hist-f geo-f e/d/kiislamu-d kisw-d engl-f bio-f comp stud-f b/math-f​

s3548/0002​

f​
anastazia amri prudence

33​

iv​

civ-d hist-f geo-f kisw-d engl-f bio-f b/math-f​

s3548/0003​

f​
diana bosco kisioly

28​

iv​

civ-d hist-d geo-d kisw-d engl-f lit eng-c bio-d comp stud-f b/math-f comm-f​

s3548/0004​

f​
elizabeth michael kimemeta

33​

iv​

civ-f hist-d geo-f kisw-d engl-f bio-f b/math-f​















s3548 midway secondary school div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 0 div-iv = 10 fld = 8



cno

sex​

candidate name​

aggt​

div​

detailed subjects​

s3548/0001​

f​
anasa bakari kasule

32​

iv​

civ-d hist-f geo-f e/d/kiislamu-d kisw-d engl-f bio-f comp stud-f b/math-f​

s3548/0002​

f​
anastazia amri prudence

33​

iv​

civ-d hist-f geo-f kisw-d engl-f bio-f b/math-f​

s3548/0003​

f​
diana bosco kisioly

28​

iv​

civ-d hist-d geo-d kisw-d engl-f lit eng-c bio-d comp stud-f b/math-f comm-f​
s3548/0004


f​
elizabeth michael kimemeta

33​

iv​



civ-f hist-d geo-f kisw-d engl-f bio-f b/math-f​

s3548/0005​

f​
esther benjamin malisa

30​

iv​

civ-d hist-d geo-d kisw-f engl-d bio-d comp stud-f b/math-f comm-f b/keeping-f​

s3548/0006​

f​
fatma abduly abduly

34​

fld​

civ-f hist-d geo-f kisw-f engl-f bio-f comp stud-f b/math-f comm-f b/keeping-f​

s3548/0007​

f​
josephine thadei mushi

26​

iv​

civ-c hist-c geo-d kisw-d engl-d lit eng-d bio-d comp stud-f b/math-f comm-f​

s3548/0008​

f​
mwajuma shabani kaoneka

-​

abs​

civ-x hist-x geo-x kisw-x engl-x bio-x b/math-x​

s3548/0009​

f​
nasra bernard msekwa

31​

iv​

civ-d hist-f geo-d kisw-f engl-d lit eng-d bio-f b/math-f comm-f b/keeping-f​

s3548/0010​

f​
raines fabian mathias

29​

iv​

civ-d hist-f geo-d kisw-f engl-f lit eng-c bio-f b/math-d comm-f b/keeping-d​

s3548/0011​

f​
zuhura said kinderu

33​

iv​

civ-f hist-f geo-d kisw-f engl-f lit eng-d bio-f comp stud-f b/math-f comm-f​

s3548/0012​

m​
evance aloyce kilawe

35​

fld​

civ-f hist-f geo-f kisw-f engl-f bio-f b/math-f​

s3548/0013​

m​
farid omary daud

34​

fld​

civ-f hist-f geo-d kisw-f engl-f bio-f comp stud-f b/math-f​

s3548/0014​

m​
francis eribariki malisa

31​

iv​

civ-f hist-d geo-d kisw-f engl-d bio-d comp stud-f b/math-f comm-f b/keeping-f​

s3548/0015​

m​
hussein keya mariri

35​

fld​

civ-f hist-f geo-f kisw-f engl-f bio-f comp stud-f b/math-f​

s3548/0016​

m​
ikelesho samwel rutubesho

35​

fld​

civ-f hist-f geo-f kisw-f engl-f bio-f b/math-f​

s3548/0017​

m​
immamu said kinderu

35​

fld​

civ-f hist-f geo-f e/d/kiislamu-f kisw-f engl-f bio-f comp stud-f b/math-f​

s3548/0018​

m​
issa shehembe kuziwa

35​

fld​

civ-f hist-f geo-f kisw-f engl-f bio-f b/math-f​

s3548/0019​

m​
paul dions paul

35​

fld​

civ-f hist-f geo-f kisw-f engl-f bio-f b/math-f​



examination centre ranking​

examination centre region​

dar es salaam​

total passed candidates​

10​

examination centre gpa​

4.5748​

centre category​

centre with less than 40 candidates​

centre position in its category(regionwise)​

43/53​

centre position in its category(nationwise)​

453/779​

examination centre divisions performance​

regist​

absent​

sat​

withheld​

no-ca​

clean​

div i​

div ii​

div iii​

div iv​

failed​

19​

1​

18​

0​

0​

18​

0​

0​

0​

10​

8​

examination centre subjects performance​

code​

subject name​

reg​

sat​

no-ca​

w/hd​

clean​

pass​

gpa​

reg/rank​

nat/rank​

011​

civics​

19​

18​

0​

0​

18​

7​

4.5556​

185/268​

2471/3901​

012​

history​

19​

18​

0​

0​

18​

6​

4.6111​

95/266​

1256/3872​

013​

geography​

19​

18​

0​

0​

18​

8​

4.5556​

122/268​

1986/3898​

015​

elimu ya dini ya kiislamu​

2​

2​

0​

0​

2​

1​

4.5000​

35/103​

262/631​

021​

kiswahili​

19​

18​

0​

0​

18​

5​

4.7222​

191/268​

2511/3901​

022​

english language​

19​

18​

0​

0​

18​

4​

4.7778​

180/268​

2297/3901​

024​

literature in english​

5​

5​

0​

0​

5​

5​

3.6000​

13/46​

37/162​

033​

biology​

19​

18​

0​

0​

18​

4​

4.7778​

200/268​

2951/3898​

036​

computer studies​

10​

10​

0​

0​

10​

0​

5.0000​

22/24​

62/70​

041​

basic mathematics​

19​

18​

0​

0​

18​

1​

4.9444​

232/268​

2856/3901​

061​

commerce​

8​

8​

0​

0​

8​

0​

5.0000​

185/202​

666/719​

062​

book-keeping​

5​

5​

0​

0​

5​

1​

4.8000​

78/201​

219/709​

mkuu iwapo una mtoto ama bado ujazaa basi ujue mwanao ana uwezo bado wa kupata kama haya matokeo ya lulu ama zaidi ..nasema kwa kumaanisha nisingependa kuona miswaki kwenye matokeo ya mwanao mtarajiwa....
Labda nirudi tena kwa maoni niliowahi kutoa lulu ukimwangalia na hayo matokeo sio kwamba ameshindwa kuendeleea ni uweo ndio uliomfanya kushindwa kuendelea na kwa kukusaidia tu walipoona hili wasanii wengi walifikia kwa mamake wakimwakkikishia kumsaidia akishaingia kwenye uliwmengu wa filamu watampeleka shule kitu ambacho sio kwa tanzania ..na ndio maana mabazazi walichukulia adv ya kuanza kumwingilia kimwili bila kujali na kukusaidia tu pengine wamekuwa wengi kimya alianza kuingiliwa na marehemu akiwa na 15 yrs ..fanya utafiti wacha hayo mamiaka mnaayatangaza akiwa ameshazeeka hata kwenye nani zimeota papa...sasa haya maisha ndio yanaweza kumfanya hata mwanao kipindi upo ama auapo ukiwa na hali ngumu ya maisha wenzio wanakusaidia mpwa

s
wala la elimu nakuhakikishia bado lulu ana nafasi akipata msaada na si mabazazi wachafu kama niwajuavyo...ninao ushahidi matokeo ya lulu ni mazuri sana pale nmb kuna dada mzuri na ana cheo kikubwa tu na alikuwa mpenzi wa mwanamziki mmoja mvuta ganja usiniulize ni nini kaagoogle...na sasa anawaongoza management nini cha kufanya ..alipata div 0..akakomaa akarudia mitihani akangoka na div 2..leo hii ni mmoja wenye maendeeleo mbaya so kuwa makini usishabikie matokeo mabaya kwenye shule yanageuka kama si kwako basi kwa mwanao
 
Kimemeta aliliambia Mwananchi jana kuwa mwanawe huyo alizaliwa Aprili 17 mwaka 1995 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH).

“Nataka nikuambie (mwandishi) mwanangu atatimiza umri wa miaka 17 ifikapo Aprili 17 mwaka huu. Sasa ana umri wa miaka 16 na ni mtoto. Tunavyosikia Kanumba alikuwa mpenzi wake inatuuma sana,” alisema.


source gazeti mwananchi

uwongo mbaya
 
Kama baba ni vile unategemea mtoto aweje? Senetor umeniacha hoi. Eti wema alikuw akipanga kwa kupata dv 4 ya pwenti 31? Ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi.
 
Mkuu binafsi sijaona kama Lulu anatatizo hapo, tatizo lipo wa shule yenyewe na walimu, haiwezekani shule ikawa na performance ya hivyo halafu tutegemee Lulu angefaulu, we never know may me angesoma shule yenye performance angefanya vizuri zaidi, MUNGU AMLINDE NA KUMUHEKIMISHA MTOTO WA WATU... Hili nalo litapita tu ktk njia yake mdogo wangu usisoneneke sana...

Unavyoandika utadhani huyo Lulu wako atasoma! Yuko Segerea kataitiwa kinoma comments zako hazifiki kokote!
Hata hivyo, analysis yako haina ukweli wa kisayansi. Mimi nimesoma shule tena ya kijijini ambapo Div. I tulipata wawili tu, 6 walikuwa na Div. III, 86 walikuwa na Div. IV na zaidi ya 110 walikuwa na Div 0! In short, there is no and/or very weak relationship between the type of the School and Performance of the Student in Class! Test this Hypothesis you will appreciate its results.
 
Back
Top Bottom